• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

DIWANI KATA YA KAWEKAMO AIPONGEZA SHULE YA SEKONDARI KILIMANI

Posted on: July 10th, 2017

DIWANI WA KATA KAWEKAMO AIPONGEZA SHULE SEKONDARI KILIMANI


Diwani wa kata ya Kawekamo katika Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela Mheshimiwa Japhesi Rwehumbiza amefanya hafla fupi ya kuipongeza shule ya sekondari Kilimani kwa jitihada walizozionyesha katika matokeo ya mtihani wa Taifa wa kidato cha nne kwa mwaka 2016 lengo ikiwa ni kuwapa motisha walimu wa shule  hiyo.


Hatua hiyo ya kuipongeza shule hiyo imefikiwa baada ya walimu  kuonyesha jitihada katika matokeo ya kidato cha nne kwa mwaka 2016 kwa kuliganisha na matokeo ya 2015 ambapo shule hiyo ilishika nafasi ya mwisho kiwilaya


Akizungumza katika hafla hiyo fupi,  Mheshimiwa Japhesi mbali na pongezi hizo amewataka walimu wa shule hiyo kupendana, kushirikiana na kuzingatia maadili ya kazi yao pamoja na kukemea suala la mimba kwa wanafunzi mashuleni ili kuyafikia malengo ya Serikali kwa kutoa elimu bora itakayosaidia kufikiwa kwa Tanzania ya Viwanda


“Hatuwezi kuifikia Tanzania ya Viwanda bila  kuzalisha wataalamu , sasa kama tutashindwa kupenda, kushirikiana na tukakubali kuvunjwa kwa maadili kwa kuruhusu wanafunzi wapate mimba tutakuwa hatulitendei haki Taifa hili, nia yangu ni kuona walimu wangu hampati tabu yeyote na kama kuna mwalimu wangu ambae bado hajapata nyumba anijulishe ili niweze kutatua changamoto hiyo, nitazidi kuwapongeza kwa kila mtakapokuwa mnafanya vizuri ili tuyafikie malengo kwa pamoja”, Alisisitiza.


Pamoja na hayo, Mhe Japhes alichangia pesa kiasi cha Shilingi laki na moja nusu kwa ajili ya kutatua baadhi ya changamoto zinazoikabili shule hiyo ikiwemo utengenezaji wa madirisha jambo ambalo liliungwa mkono na Mhe Innocent Mwinyikondo wa kata ya Kiseke ambae alihudhuria hafla hiyo.


Mwalimu mkuu wa shule ya sekondari Kilimani Mwalimu Kicheta Kicheta kwa niaba ya walimu na wanafunzi wa shule hiyo mbali na kumshukuru Diwani wao kwa kuwa pamoja nao na kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili wamemuhakikishia kuwa wataongeza jitihada kuendelea kufanya vizuri zaidi.



Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.