• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

DC MASALA: MWAUWASA WEKENI UTARATIBU RAFIKI WA USAMBAZAJI MAJI ILEMELA

Posted on: October 7th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Ilemela, Mhe Hassan Masala ameiagiza Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Jijini Mwanza (MWAUWASA) kuhakikisha  inaweka utaratibu rafiki kwa wananchi katika kusambaza maji ili kuondoa usumbufu usio wa lazima

Kauli hiyo ameitoa  wakati wa ziara yake ya kusikiliza kero za wananchi wa kata ya Mecco na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa ndani ya kata hiyo.


Mhe Masala amesema kuwa ni wajibu wa MWAUWASA kuhakikisha inaweka utaratibu mzuri wa kusambaza maji kutokana na kwamba Serikali ya awamu ya sita inafanya jitihada kubwa katika kuondoa kero hii ya  maji ambayo imekuwa ya muda mrefu sasa..


Akifafanua kuhusu kero ya maji amesema kuwa  kwa wilaya ya Ilemela pekee imeshapokea magari ya kutosha ya  mabomba ya kusambazia maji katika maeneo ambayo yanakabiliwa na upungufu wa maji kwa kiasi kikubwa


Ameongeza kusema kuwa Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, ametoa fedha nyingi kwa ajili ya ujenzi wa vyanzo vipya vya maji vya Butimba na matarajio ya kuanzisha chanzo kipya cha Kabangaja ili kusaidia upataikanaji wa maji ya uhakika kwa wananchi wa Ilemela na mkoa wa Mwanza kwa ujumla wake


Kwa upande wake meneja msaidizi wa idara ya maji MWAUWASA Kanda ya Nyakato Ndugu Juma Saidi mbali na kukiri kupokea fedha nyingi kutoka Serikali kuu kwaajili ya kuboresha sekta ya maji amesema kuwa mamlaka hiyo inaendelea na taratibu za kusambaza maji kwa wananchi kulingana na utaratibu uliowekwa ili kuhakikisha kila eneo lenye changamoto linapatiwa ufumbuzi pamoja na kuwaomba wananchi kuwa wavumilivu wakati mamlaka hiyo ikiendelea na kazi zake


Nae diwani wa kata ya Mecco Mhe Godlisten Kisanga amemshukuru mkuu huyo wa wilaya ya Ilemela kwa jitihada zake katika kutatua kero za wananchi sanjari na kuwaomba wananchi kuungana na Serikali katika kufanikisha shughuli za kila siku za maendeleo


Mkuu wa wilaya ya Ilemela Mhe Hasan Masala amehitimisha ziara yake kwa kuwaahidi wananchi wa kata ya Mecco kurudi katika eneo la shule ya Kilimanjaro hapo kesho kwaajili ya utatuzi wa mgogoro wa ardhi uliowasumbua kwa muda mrefu ili kuupatia ufumbuzi




Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.