• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

DC MASALA "Ilemela tuna kila sababu kushukuru siku 365 za Rais Samia"

Posted on: March 28th, 2022

Wananchi wa wilaya ya Ilemela wana kila sababu ya kumpongeza na kumshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hasan kwa kutoa fedha za utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo kwa kipindi cha mwaka mmoja tangu aingie madarakani.

Akizungumzia mafanikio ya siku 365 za Rais Samia tangu kuingia madarakani katika ukumbi wa Malaika Beach Resort Mkuu wa wilaya ya Ilemela Mhe Mwalimu Hasan Elias Masala amesema kuwa kwa kipindi cha mwaka mmoja ndani ya wilaya yake Mhe Rais ametoa kiasi cha shilingi bilioni tatu na nusu kwaajili ya zoezi la upimaji, upangaji, umilikishaji na urasimishaji wa makazi, shilingi milioni mia na hamsini kwa ajili ya ujenzi wa Zahanati tatu, shilingi bilioni moja na milioni mia tisa na nne kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa, milioni mia tano kwa ajili ya ujenzi wa kituo kipya cha afya Kayenze na milioni mia nne na sabini kwa ajili ya ujenzi wa sekondari  ya kata ya Buzuruga.



‘.. Ndugu zangu hatuna cha kusema zaidi ya kumuombea kwa Mungu na kumshukuru, Sisi wana Ilemela tunapaswa kusema Ahsante Mhe Rais kwa fedha nyingi za maendeleo na tunaahidi kuzisimamia  ...’ Alisema

Kwa upande wake Mbunge wa Jimbo la Ilemela ambae pia ni Waziri wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe Dkt Angeline Mabula amesema kuwa kwa nchi nzima Mhe Rais Samia Suluhu Hasan kupitia wizara anayoisimamia ametoa kiasi cha shilingi bilioni hamsini kwaajili ya upangaji, upimaji na urasimishaji wa makazi fedha ambazo zitasaidia kupunguza migogoro ya ardhi kwa kuwa maeneo mengi yatakuwa yamepimwa ikiwemo Ilemela huku akishukuru kwa fedha nyengine zilizotolewa hivi karibuni kiasi cha dola milioni 150 sawa na shilingi bilioni 345 kwaajili ya kuimarisha mifumo ya Tehama, uimarishaji wa ofisi na upimaji.



Nae Mkurugenzi wa manispaa ya Ilemela Mhandisi Modest Joseph Apolinary  amesema kuwa manispaa yake imeanza kujikita katika kutegemea uchumi wa bluu kupitia ziwa viktoria ambapo fedha zimetengwa kwa ajili ya maboresho ya mialo inayopatikana ndani ya wilaya hiyo ili kuongeza mapato na kuwakwamua wananchi kiuchumi.

Modest John ni mwenyekiti wa chama cha wafanya biashara wadogo wadogo maarufu machinga kwa wilaya ya Ilemela ambapo ameishukuru Serikali ya Rais Samia kwa kuwajali wafanya biashara hao kwa kutoa fedha za uboreshaji wa masoko, mitaji na upangaji katika maeneo rasmi ya biashara ndani ya siku 365 za uongozi wake.




 

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.