• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

DC MASALA : DKT.SAMIA KINARA UTUNZAJI WA MAZINGIRA

Posted on: July 8th, 2024

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hasan ni kinara na mfano wa kuigwa katika kutunza, kuhifadhi na kulinda mazingira nchini .

Hayo yamesemwa na Mkuu wa wilaya ya Ilemela Mwl.Hasan Elias Masala wakati wa hafla ya kukabidhi mitungi ya gesi kama nishati rafiki kwa mazingira iliyotolewa na Mbunge wa Jimbo la Ilemela Mhe. Dkt Angeline Mabula kwa makundi mbalimbali katika jamii wakiwemo wasanii, vijana, mabalozi wa CCM, vikundi vya mbio na wajasiriamali huku akiwataka kumuunga mkono na kumshukuru kwa utekelezaji wa miradi ya maendeleo ndani ya Ilemela.

'.. Hiki anachokifanya Mbunge wetu hii leo ni muendelezo wa juhudi za Rais wetu katika jitihada za utunzaji wa mazingira, Twendeni tukaitumie vizuri mitungi ya gesi tuliyopewa ..' Alisema

Aidha Mhe.Masala ameongeza kuwa Rais Dkt Samia Suluhu Hasan amekuwa kielelezo katika kila sekta ya maendeleo ambapo ametoa fedha nyingi kwa ajili ya shughuli za maendeleo na wilaya ya Ilemela ni miongoni mwa  wanufaika .

Kwa upande wake Mbunge wa Jimbo la Ilemela Mhe. Dkt. Angeline Mabula mbali na kumshukuru Rais Dkt Samia Suluhu Hasan kwa utunzaji wa mazingira amewataka wananchi wa Jimbo hilo kuhakikisha wanatumia nishati safi na salama kutunza mazingira pamoja na wajasiriamali kutumia mitungi hiyo kama sehemu ya mtaji katika biashara zao na kujikwamua kiuchumi huku akiwasisitiza kuwapuuza wanaobeza na kupotosha jitihada hizo za utunzaji wa mazingira .

Bi.Ummy Mohamed Wayayu ni Mkurugenzi wa manispaa ya Ilemela yeye amempongeza Mbunge Dkt. Angeline Mabula kwa juhudi zake za kuwakwamua wananchi kiuchumi sambamba na uhamasishaji wa utunzaji wa mazingira kwa kutumia nishati mbadala ya gesi.

Nae meneja wa miradi kutoka kampuni ya ORYX Ndugu Peter Ndomba amewaasa wananchi walionufaika na mitungi hiyo ya gesi kuhakikisha wanazingatia usalama na matumizi sahihi ili kujikinga na madhara yanayoweza kujitokeza ikiwemo kulipukiwa kama mitungi haitafungwa vizuri au kuwasha bila kuzingatia taratibu huku akimpongeza Mbunge Dkt Mabula kwa kazi nzuri anayoendelea nayo ya kuchochea maendeleo Ilemela.

Jumla ya mitungi mia tano kutoka kampuni ya ORYX imetolewa na Mb.

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.