• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

DC MASALA ASITISHA UJENZI KWA WAVAMIZI ENEO LA SHULE YA BUSENGA

Posted on: October 26th, 2022

Mkuu wa wilaya ya Ilemela Mhe Hasan Masala amesitisha ujenzi kwa wananchi wanaodaiwa kuvamia eneo la shule ya sekondari Busenga inayoendelea kujengwa katika mtaa wa Busenga.


Akizungumza na wananchi wa kata za  Buswelu na Nyamhongolo wanaoishi jirani na eneo inapojengwa shule ya sekondari Busenga Mhe Masala amewataka wananchi wanaoishi eneo hilo kuacha mara moja shughuli zote za ujenzi wa nyumba za kuishi na maendelezo mengine Ili kutoa fursa kwa timu ya wataalam aliyoiunda kutoka vyombo vya usalama na maafisa ardhi kujiridhisha juu ya uhalali wa umiliki wa eneo hilo

'.. Iwe umepewa eneo na mkurugenzi, Iwe umepewa na afisa mipango miji, Iwe una nyaraka, Iwe una kibali na umepewa na  mtu yeyote kutoka mamlaka yeyote naomba ujenzi usifanyike ..' alisema


Aidha Mhe Masala amewataka wananchi wa eneo hilo kumshukuru Rais Mhe Samia Suluhu Hasan kwa kutoa kiasi cha shilingi bilioni mbili na milioni mia mbili kwa ajili ya ujenzi wa vyumba 110 kwenye shule 23 za manispaa pamoja na kumpongeza Mbunge wa Jimbo la Ilemela Mhe Dkt Angeline Mabula Kwa kuwa kiunganishi katika Utekelezaji wa shughuli za maendeleo


Kwa upande wake Afisa elimu sekondari wa Manispaa ya Ilemela Mwl Sylvester Mrimi amefafanua kuwa upo uhitaji mkubwa wa kujengwa shule ya sekondari Busenga Kwani shule za Bujingwa na Buswelu zimejaa wanafunzi wengi kuliko uwezo wake na kwamba watoto wengi wanatoka  mtaa wa Busenga



Nae Bwana Benedict Amoro mpima kutoka idara ya Ardhi na mipango miji manispaa ya Ilemela akasema kuwa eneo hilo ni salama Kwa matumizi ya taasisi za shule, Limepimwa na kupangiwa matumizi ya ujenzi wa shule ya msingi upande wa chini na ujenzi wa shule ya sekondari Kwa upande wa juu


Diwani wa kata ya Nyamhongolo Mhe Andrea Nginila na diwani wa Buswelu Mhe Sara Ng'wani mbali na kumshukuru Rais Mhe Samia wameahidi kusimamia fedha zote za maendeleo zitakazotolewa katika maeneo Yao huku mstahiki Meya wa manispaa ya Ilemela akisistiza umuhimu wa kuwekeza katika Elimu Kwa vizazi vijavyo


Ziara ya mkuu wa wilaya ya Ilemela imejumuisha wataalam wa idara na vitengo vya manispaa ya Ilemela, wajumbe wa Kamati ya ulinzi na usalama pamoja na taasisi nyingine ikiwemo TANESCO na MWAUWASA





Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.