• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

DC MASALA AAGIZA UFUATILIAJI KWA WANAFUNZI AMBAO HAWAJARIPOTI

Posted on: February 6th, 2023

Mhe. Hassan Masala, Mkuu wa wilaya ya Ilemela amewataka maafisa elimu watendaji, viongozi wa kata na mitaa kwa kushirikiana na wazazi, kufanya ufuatiliaji wa haraka kwa wanafunzi 1500 ambao hawajaripoti shule ili kuweza kuhakikisha watoto wote waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza kwa mwaka wa masomo 2023 wanaripoti shuleni.


Agizo hilo amelitoa wakati wa kikao kazi cha kutathimini hali ya uandikishaji wa darasa la awali na la kwanza na hali ya kuripoti kwa wanafunzi wa kidato cha kwanza kwa mwaka 2023 ambapo amewataka viongozi na watendaji kushirikiana pamoja kuhakikisha watoto ambao hawajaripoti wanaripoti ndani ya wiki mbili.


Aidha Mhe Masala mbali na kumshukuru Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa fedha za ujenzi wa madarasa amekemea dhana potofu  iliyojengeka kwa jamii kwamba hakuna sababu ya kusoma kwa kuwa ajira ni changamoto hivyo akatumia wakati huo kuwaasa wataalam na viongozi kutoa elimu kwa wazazi wasioelewa juu ya umuhimu wa elimu huku akihimiza kuwekeza katika elimu.


Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilemela, Mhe. Renatus Mulunga amempongeza Mhe Masala kwa kuendelea kuweka msisitizo juu ya suala la Elimu kwani anaamini maendeleo yoyote hupatikana kupitia elimu huku akihimiza kuwajali walimu wanaofanya kazi katika maeneo ya pembezoni kwa kuwaboreshea mazingira ya kuishi

Kwa upande wake mkurugenzi wa Manispaa ya Ilemela Mhandisi Modest Apolinary ametaja mafanikio yaliyofikiwa kwa muda mfupi ndani ya sekta ya elimu ikiwemo ujenzi wa shule mpya tano za sekondari, ujenzi wa shule saba mpya za msingi, pamoja na ukamilishaji wa maboma 40 ya vyumba vya madarasa yanayosubiria kupauliwa pamoja na kuahidi milioni tano kwa shule zilizofanya vizuri katika matokeo ya kidato cha nne mwaka huu sambamba na kuwataka wenyeviti wa mitaa kuongeza juhudi za ukusanyaji wa mapato ili Serikali iweze kuboresha zaidi sekta hiyo.

Tathmini hiyo ilienda sambamba na utoaji wa vyeti kwa viongozi mbalimbali kwa ajili ya kutambua michango yao katika sekta ya Elimu, ambapo Mkuu wa Wilaya aliwatunuku vyeti hivyo, wenyeviti wa mitaa, watendaji kata na mitaa, wakuu wa shule , Mkurugenzi, Mstahiki Meya  pamoja na Mbunge wa jimbo la Ilemela huku akiwashukuru kwa utayari wao katika kusimamia miradi ya elimu.




Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.