• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

DC ILEMELA AZINDUA RASMI UTOAJI WA HUDUMA ZA AFYA ZAHANATI YA MIHAMA

Posted on: May 6th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Ilemela Mhe.Hassan E.Masala amezindua rasmi huduma za afya kuanza kutolewa katika zahanati mpya ya Mihama iliyopo kata ya Kitangiri ndani ya Manispaa ya Ilemela.


Akizungumza wakati wa hafla fupi ya ufunguzi wa zahanati hiyo Mhe.Masala ametoa pongezi nyingi kwa uongozi wa kata ya Kitangiri na Manispaa kwa ujumla kwa kazi nzuri ya ukamilishaji wa ujenzi wa zahanati hiyo.


"Kwenye mafanikio yoyote changamoto hazikosekani, muhimu kufanikisha jambo."


Aidha Mhe.Masala kipekee amewapongeza mabalozi 13 wa mitaa ya Mihama kwa kazi nzuri ya kuunganisha wanaMihama kwa kipindi chote cha ujenzi.


Ametoa rai kwa wahudumu wa afya  katika zahanati hiyo kuhakikisha wanatoa huduma bora kwa wananchi ili lengo halisi la kuwepo kwa zahanati hiyo lionekane .


Nae diwani wa kata ya Kitangiri Mhe.Donald Ndaro amemshukuru na kumpongeza  Mkuu wa Wilaya hiyo huku akitaja baadhi ya changamoto zilizopo ndani ya kata yake kama vile changamoto ya kujaa maji eneo hasa nyakati za mvua na kuahidi kushirikiana na uongozi katika kulitatua.


Rose Sabinus ni katibu wa tawi la CCM la Mihama yeye ametoa shukrani nyingi kwa mbunge wa Jimbo la Ilemela Mhe.Dkt.Angeline Mabula kwa kutoa msukumo mara kwa mara na kufanikisha ujenzi huo.


"Shukrani kwa serikali ya awamu ya sita kwa kutuletea zahanati hii kwani ilikuwa ni hitaji la muda mrefu,jambo hili limeondoa kero ya kusafiri umbali mrefu kama km 6 hivi kutoka hapa kwenda zahanati ya Kirumba kufuata huduma za afya."


Zahanati ya Mihama imegharimu jumla ya shilingi milioni 225 hadi kukamilika kwake ikiwa ni fedha kutoka mfuko wa mradi wa kunusuru kaya maskini (TASAF).

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • "TUUFANYE USAFI KUWA NI TABIA YA KUDUMUA": ANNA MBAO

    May 31, 2025
  • WATAALAM WA MANISPAA YA ILEMELA WAJENGEWA UWEZO MATUMIZI YA MFUMO WA MANUNUZI WA UMMA

    May 29, 2025
  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.