• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

DC ILEMELA AHIMIZA UWAZI NA UADILIFU MATUMIZI YA FEDHA ZA UJENZI WA MADARASA

Posted on: January 26th, 2021

Mkuu wa wilaya ya Ilemela Mhe Dkt Mathias Severine Lalika amehimiza uwazi, uadilifu na ushirikishwaji wa wananchi katika matumizi ya fedha za ujenzi wa madarasa ya shule za sekondari zilizopo ndani ya wilaya ya Ilemela yatakayotumika na wanafunzi wanaotarajia kuanza kidato cha kwanza kwa mwaka huu 2021.


Rai hiyo ameitoa wakati wa ziara ya ukaguzi wa ujenzi wa miundombinu ya madarasa, vyoo, ofisi za walimu, viti na meza aliyoifanya akiwa pamoja na kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ya Ilemela.

Akiwa katika ziara hiyo amewataka walimu wakuu na kamati za ujenzi kuhakikisha wanatumia vizuri fedha zilizotolewa na Serikali na michango ya wananchi kwa ajili ya kukamilisha miundombinu hiyo sanjari na kuwepo kwa ushirikishwaji na uwazi ili kuondoa minong’ono ya kutoaminiana jambo litakalodhoofisha uchangiaji wa shughuli za maendeleo kutoka kwa wananchi.


‘ Ni wajibu wa viongozi wote kuanzia ngazi za mitaa hadi wilaya kuhamasisha na kuelimisha jamii juu ya umuhimu wa kuchangia shughuli mbalimbali za kimaendeleo  kama hii tuliyonayo sasa sambasamba na kutoa mirejesho chanya kwa jamii ili waone nguvu zao zinazaa matunda mazuri kwa manufaa ya watoto wetu na jamii nzima kwa ujumla’ alisema.


Alex Mkusa akimuwakilisha Afisa Elimu Sekondari, amezisisitiza kamati za ujenzi za shule husika kuhakikisha ujenzi unakamilika kwa wakati kwani Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela imeshatenga fedha zote kwa shughuli zinazoendelea na kwamba awamu ya kwanza ya fedha hizo imeshawekwa kwenye akaunti za shule zote zenye miradi ya ujenzi wa madarasa.


“Ujenzi huu ni budi ukamilike kwa wakati kwani hatuna kizuizi , mahitaji yote yapo,pesa ipo hivyo kila shule mfanye juhudi kukamilisha ujenzi wa madarasa haya kwa wakati kwani shule zetu zote zimepangiwa wanafunzi wanaoingia kidato cha kwanza na shule zimeshafunguliwa.Tukamilishe mradi huu kwa wakati sambamba na agizo la Waziri mkuu Mhe.Kassim Majaliwa Kassim.”alisema

Halmashauri ya Manispaa Ilemela kupitia chanzo cha mapato cha ndani kimetoa jumla ya Shilingi Milioni 252,690,000.00 tu kwa ajili ya ukamilishaji wa vyumba vya madarasa 60 kwa shule 16 za sekondari kwa awamu ya kwanza. Pamoja na hayo kupitia mradi wa matofali



Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.