• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

DAWATI LA HUDUMA ZA USTAWI WA JAMII KUENDELEA KUIMARISHA UTOAJI WA HUDUMA STENDI YA MABASI NYAMHONGOLO

Posted on: June 26th, 2025

Uanzishwaji wa  dawati la huduma za ustawi wa jamii katika vituo vya usafiri ni maelekezo ya serikali kupitia ofisi ya Rais TAMISEMI juu ya uwepo wa maafisa ustawi wa jamii katika maeneo ya bandari na  stendi kuu za mabasi yaendayo mikoani tangu juni 2022

 

Lengo kuu la uanzishwaji wa madawati haya ni pamoja na kuimarisha  utoaji wa huduma kwa makundi maalumu hususani  kuzuia watoto kuingia mtaani  pamoja na Kuzuia usafirishaji haramu wa binadamu (human trafficking), hasa kubaini na kuzuia watoto wanaosafirishwa kinyemela.Kusaidia watu /wananchi waliopo katika mazingira hatarishi maeneo ya stendi

 

"Halmashauri ya manispaa ya Ilemela ni miongoni mwa halmashauri zenye stendi kuu ya mabasi ijulikanayo kama stendi ya Nyamhongolo ambapo kupitia dawati hilo la  huduma za ustawi wa jamii, ambapo katika kipindi cha machi 2024 hadi april 2025 jumla ya watoto 146 wamehudumiwa kati yao wasichana ni 81 na wavulana ni 65 na kuwa asilimia 68 ya watoto waliopatiwa huduma katika dawati hilo ni  wenye umri kati ya miaka 7- 14, asilimia 31 ni watoto wenye umri wa miaka 15 -17 na asilimia moja ni watoto wenye umri wa miaka 7", Amebainisha Bi Lucy Katonkola afisa ustawi wa jamii wa manispaa ya Ilemela anaeshughulika na dawati ya huduma za ustawi wa jamii katika stendi hiyo

 

Sambamba na hilo bi Lucy ametoa rai kwa wazazi na walezi kuachana tabia ya kusafirisha watoto wadogo peke yao bila mtu mzima kumsimamia, pia amewataka wananchi wanaozunguka maeneo ya stendi kuhakikisha wanatoa kipaumbele katika suala la ulinzi na usalama wa watoto maeneo ya stendi

 

Railway Children Africa (RCA) ni shirika ambalo limekuwa likishirikiana na manispaa ya Ilemela kupitia maafisa ustawi wa jamii katika utoaji wa huduma za ustawi katika stendi hiyo ya mabasi ya Nyamhongolo.

 

Anitha Joseph ambae ni afisa mradi wa shirika hilo amsema kuwa wamekuwa  wakijishughulisha na watoto na vijana wanaoishi katika mazingira hatarishi  pamoja na familia zao huku wakilenga katika kuimarisha muitikio wa jamii juu ya watoto na vijana walio katika mazingira hatarishi hasa waliopo mitaani kwa kutoa elimu kwa jamii na namna ya kuzuia na kudhibiti wimbi la watoto hawa wa mitaani kwa kushirikiana na serikali kuzitafsiri sheria na miongozo inayolenga kuwasaidia watoto na vijana hao

 

Huduma za ustawi wa jamii katika stendi ya Nyamhongolo zinapatikana katika chumba namba 60 na wale wote  wenye changamoto na uhitaji wa huduma za ustawi wa jamii wamehimizwa kufika katika ofisi hizo.

 

 



Announcements

  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2025 July 08, 2025
  • TANGAZO LA KAZI NAFASI YA UDEREVA DARAJA LA II June 04, 2025
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • CHANJO YA KUKU KUWANUFAISHA WAFUGAJI

    July 09, 2025
  • PROF NAGU AMEWATAKA WATUMISHI KADA YA AFYA KUENDELEA KUTOA HUDUMA BORA KWA WANANCHI

    July 08, 2025
  • WALIMU WA AJIRA MPYA WAMETAKIWA KUWEKA MIPANGO SAHIHI YA KAZI

    July 04, 2025
  • ELIMU YA FEDHA KUWAONGEZEA UFANISI WANUFAIKA WA TASAF

    July 03, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.