• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

CHANJO YA KANSA YA MLANGO WA KIZAZI YAZINDULIWA RASMI

Posted on: April 22nd, 2024

Waziri wa Afya Tanzania Mhe.Ummy Mwalimu (Mb) amezindua chanjo ya kansa ya mlango wa kizazi HPV (Human Papilloma Virus) kwa watoto wa umri kuanzia miaka 9-14 kitaifa katika viwanja vya Furahisha vilivyopo kata ya Kirumba ndani ya Manispaa ya Ilemela.


Mhe.Ummy amesema chanjo hii imefanyiwa majaribio kadhaa na wataalam kutoka wizara ya Afya na wadau wa kimataifa ikiwemo shirika la Afya duniani (WHO)kabla ya kuanza kutimika na kujihakikishia kuwa ni salama kwa wasichana wa umri huo.


"Dozi ya chanjo hii ni moja tu kwa maisha ya msichana, wazazi tuhamasike kuwaruhusu mabinti zetu kupata chanjo hii muhimu."


Ameongeza kusema kuwa, chanjo huokoa maisha,huwezesha taifa kuwa na nguvu kazi imara.  Ametoa wito kwa wazazi wote wenye watoto chini ya miaka 2 kuwapatia chanjo zote kwa kufuata ratiba ya dozi iliyo sahihi.


Amefafanua kuwa virusi vya ugonjwa wa kansa ya mlango wa kizazi vinapatikana kwa wanaume na vinaweza kuingia kwa wasichana kupitia tendo la kujamiiana hivyo njia moja wapo ya kuepukana nayo ni kuacha kabisa kujihusisha na ngono katika umri mdogo.


"Tuwachanje mabinti zetu ili wasijeugua kansa ya mlango wa kizazi kwani ni hatari na pia matibabu yake ni gharama kubwa,tunasema hakuna saratani ya mlango wa kizazi Mwanza naTanzania kwa kuwapatia chanjo hii."


Mhe.Ummy amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan kwa maboresho makubwa anayoendelea kuyafanya katika sekta ya afya kwa kuongeza vituo vya kutolea huduma za Afya na vifaa tiba.


Kwa Manispaa ya Ilemela takribani watoto 40,396 wanatarajiwa kupata chanjo hii chanjo ya saratani ya mlango wa kizazi kwa shule zote za msingi na sekondari kwa mabinti wenye umri wa miaka 9 hadi 14 kuanzia tarehe 22 hadi 28 Aprili,2024 .

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.