• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

CCM Ilemela yaridhishwa na hatua za ujenzi wa madarasa ya UVIKO-19

Posted on: December 2nd, 2021

Chama Cha Mapinduzi wilaya ya Ilemela kimefurahishwa na kuridhishwa na hatua za ujenzi wa vyumba vya madarasa yanayotokana na fedha za mpango wa maendeleo dhidi ya UVIKO-19 kiasi cha shilingi bilioni moja na milioni mia tisa na arobaini zilizotolewa hivi karibuni na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan kwa ajili ya kukamilisha vyumba 97 katika shule 26 za manispaa hiyo

Hayo yamebainishwa na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Ilemela Ndugu Nelson Mesha wakati wa ziara ya kamati ya siasa ya chama hicho kwa ajili ya kukagua hatua za ujenzi wa vyumba hivyo vya madarasa ambapo amefafanua kuwa chama kimeona kazi kubwa iliyofanywa na wataalam wa manispaa hiyo kwa kushirikiana na wananchi, viongozi wa Serikali na wa chama chenyewe katika shule mbalimbali za kata za wilaya hiyo huku akisisitiza kamati za ujenzi na wataalam kuendelea na kasi hiyo ili vyumba hivyo vikamilikie kwa muda uliopangwa huku vikizingatia ubora na thamani ya fedha

‘.. Niwapongeze kwa hatua hii nzuri ya ukamilishaji wa madarasa, na bahati nzuri chama tumeshiriki pamoja kuanzia hatua za awali mpaka sasa, Mimi binafsi nimeshapita mara nyingi lakini nikaona leo tupite kwa pamoja kama wajumbe wa kamati ya siasa ili nao wajilizishe kwa kazi iliyofanyika ..’ Alisema

Aidha Mwenyekiti Mesha ameongeza kuwa Chama hicho ngazi ya wilaya kinamshukuru Rais Mhe Samia Suluhu Hassan kwa uamuzi wake wa kutoa fedha za ujenzi wa madarasa kwani hatua hiyo itasaidia kupunguza msongamano wa wanafunzi madarasani pamoja na kuwapunguzia wazazi gharama

Pamoja na pongezi hizo kamati ya siasa ya wilaya kwa ujumla wao imehimiza suala la kukamilisha madarasa hayo kwa wakati ili mwaka mpya wa elimu utakapoanza yaani 2022 watoto wote waingie darasani kama ilivyo dhamira ya Mhe. Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania ikiwa ni pamoja na kuhakikisha kuwa meza na viti vinakuwepo.

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.