• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

BILIONI 61.3 KUTEKELEZA MIRADI YA MAENDELEO ILEMELA

Posted on: May 15th, 2023

Serikali imetoa zaidi ya shilingi Bilioni 61.3 kwa ajili ya kutekeleza  miradi ya maendeleo ndani ya manispaa ya Ilemela katika sekta ya afya, elimu na  miundo mbinu mbalimbali.

Hayo yamebainishwa na mstahiki meya wa manispaa ya Ilemela Mhe. Renatus Mulunga wakati wa kikao cha baraza la madiwani kwa ajili ya  kupokea na kujadili taarifa za utekelezaji wa shughuli za maendeleo kwa kipindi cha robo ya tatu inayoanza Januari hadi Machi, 2023.

Aidha Mhe.Mulunga amemshukuru Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hasan kwa kutoa fedha hizo huku akilipongeza baraza la madiwani la Ilemela kwa kupata hati safi inayotokana na usimamizi na matumizi sahihi ya fedha za maendeleo.

“ Naendelea kuishukuru Serikali kwa fedha inazoleta kutekeleza maendeleo, tuendelee kuwaombea viongozi wetu hasa Mhe Rais na Mbunge kwa juhudi zao za kuchochea maendeleo, Rais anatoa fedha nyingi sana katika miradi tunayotekeleza ..’ Alisema

Aidha Mhe Mulunga amemshukuru mkurugenzi wa manispaa ya Ilemela Mhandisi Modest Apolinary  kwa jitihada zake za ukusanyaji wa mapato zinazochochea utekelezaji wa miradi ya maendeleo pamoja na kuwataka madiwani kuunga mkono juhudi hizo

Kwa upande wake mkurugenzi wa manispaa ya Ilemela Mhandisi Modest Apolinary amefafanua kuwa mpaka sasa manispaa yake imeshakusanya  kiasi cha shilingi 12,189,314,578 sawa na  asilimia 90 ya makisio ya bajeti kwa mwaka wa fedha 2022/2023 kati ya mapato halisi ya shilingi 11,943,338,632 ambayo ni sawa na asilimia 92 ya bajeti.

Nae Diwani wa kata ya Pasiansi Mhe Rosemary Mayunga amempongeza mkurugenzi wa Ilemela na watumishi wote kwa mchango wao katika kuhakikisha manispaa hiyo inapata hati safi huku Diwani wa kata ya Mecco Mhe Godlisten Kisanga akisema kuwa hakuna manispaa inayopata hati safi kama kuna matumizi yasiyo sahihi ya fedha za umma hivyo kuwaasa wananchi kuendelea kushirikiana na viongozi wa maeneo yao katika kutekeleza shughuli za maendeleo.

Manispaa ya Ilemela inaendelea na utekelezaji wa shughuli mbalimbali za maendeleo katika maeneo yake huku kukiwa na usimamizi wa matumizi sahihi wa fedha za miradi ya maendeleo kwa zaidi ya miaka kumi na kupata hati safi katika vipindi vyote.

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.