• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

BILIONI 13 ILEMELA INAWEZEKANA NA ITAPATIKANA -RC MWANZA

Posted on: August 4th, 2022

Shilingi Bilioni 13 inawezekana na itapatikana ni kauli iliyotolewa na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe. Adam Malima alipokuwa akijitambulisha Ilemela kwa mara ya kwanza toka kuteuliwa kwake kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza na Mhe Rais SamiaSuluhu Hassan huku akiwataka watumishi wa Ilemela kuongeza wigo wa ukusanyaji wa mapato pamoja na kuwa wabunifu

Aidha Mhe. Malima amemuelekeza mchumi wa Manispaa ya Ilemel kuhakikisha anaweka mipango ya kufanikisha makusanyo ya fedha hizo yanawekwa wazi na yanakuwa shirikishi kwa kushirikisha idara zingine.


“Mapato ya mwaka jana ilikuwa Bilioni 9.6 na ilifikiwa na zidio kidogo na mwaka huu wa fedha malengo yenu ni Bilioni 13.5 naomba mipango ya kufanikisha makusanyo iwe wazi na ifanyike kwa ushirikiano na idara zingine kama timu.", Amesisitiza Mhe Malima.


Aliongeza kusema kuwa ni wajibu wake kutekeleza  kile ambacho Mhe.Rais anategemea afanye kwa manufaa ya wana Mwanza na watanzania kwa ujumla kwani Kazi ya watumishi ni kuwahudumia wananchi na sio wao watuombe sisi.


Amesema , “Tutakaa mara kwa mara ili kujua kero na changamoto mbalimbali na kuweka mikakati inayotekelezeka ili kuungana na Mhe.Rais katika kutoa huduma bora na kuleta unafuu kwa wananchi."


Pamoja na hayo Mkuu wa Mkoa huyo ameitaka Ilemela kuwa ya mfano kwa halmashauri zingine kwa kuhakikisha  masuala ya ulinzi na usalama yanaimarishwa zaidi  ili kuifanya  Ilemela kuwa sehemu ya kuvutia wawekezaji na shughuli mbalimbali za kiuchumi ili kuongeza mapato ya Wilaya na taifa kwa ujumla

Ndugu Balandya Elikana, ambae ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza akijitambulisha amesisitiza suala la kufanya kazi kwa ushirikiano kama ndugu ili kuweza kutimiza malengo ya serikali  huku akisisitiza kuwa umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu

“Ili kazi zetu ziende vizuri tunahitaji amani na kufanya kazi kwa ushirikiano kama ndugu, tufanye kazi ili kutimiza malengo ya serikali lakini pia tuwathibitishie waliotuamini kutupa majukumu haya ya kuhudumia wananchi kuwa tunatosha katika nafasi zetu.", Ndugu Balandya amesema


Mhe.Mkuu wa Mkoa umetukuta na zoezi la kampeni ya  ujenzi wa madarasa na kuongeza madawati kwa ajili ya shule zetu za Ilemela naamini tutaendelea kushirikisha wananchi wetu katika kuleta chachu ya maendeleo zaidi Wilayani kwetu pamoja na hayo nikuahidi kuwa tupo tayari kumsaidia Mhe. Rais pamoja na wewe, alihitimisha Mkuu wa Wilaya ya Ilemela Mhe. Hasan Masala.




Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.