• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

BARAZA LA WATOTO ILEMELA LAUNDWA

Posted on: April 17th, 2018


Halmashauri ya manispaa ya Ilemela kwa kushirikiana na shirika lisilo la kiserikali la Plan International imeunda baraza la watoto la wilaya hiyo litakalokuwa na lengo la kutetea na kulinda haki za watoto.

Akizungumza katika kikao cha uundaji wa baraza hilo afisa maendeleo wa manispaa ya Ilemela ndugu Sitta Singibala amesema kuwa manispaa yake imekuwa na dhamira ya kuwakutanisha watoto katika chombo kimoja kujadili changamoto zinazowakabili na kushiriki namna ya kuzitatua jambo ambalo litafanikiwa kwa uwepo wa baraza la watoto wilayani humo sambamba na kushukuru shirika lisilo la kiserikali la Plan International lililokubali kushirikiana na manispaa yake kuunda baraza hilo.

‘.. Tumekuwa na dhamira ya kuwakutanisha watoto pamoja kupitia mabaraza yao kujadili changamoto zinazowakabili ili washiriki kuzipatia ufumbuzi, Tunawashukuru wenzetu wa plan kutusaidia katika kufanikisha uundaji wa baraza la watoto wilayani kwetu ...’ Alisema

Uundaji wa baraza hilo ulienda sambamba na zoezi la uchaguzi la kupata viongozi kwa nafasi mbalimbali za baraza hilo ambapo kwa nafasi ya mwenyekiti wa baraza la watoto wilayani humo alichaguliwa ndugu Aidath Ismail makamu mwenyekiti alichaguliwa ndugu Aisha Bakari, katibu alichaguliwa ndugu Neema Paul na mweka hazina alichaguliwa ndugu Alony Steven

Kwa upande wake muwakilishi wa taasisi ya Plan International ndugu Emmanuel Asaph mbali na kuelezea juu ya miradi mbalimbali inayotekelezwa na asasi yake katika kusaidia watoto ameipongeza wilaya ya Ilemela kwa kuwa mstari wa mbele katika uundaji wa mabaraza hayo ukilinganisha na wilaya zingine za mkoa wa Mwanza ambazo hata mabaraza ya kata hayajaundwa.

Mratibu wa baraza la watoto wilaya ya Ilemela Bi Sara Nthangu amewataka viongozi waliochaguliwa kushirikiana na walezi wao katika kuandaa mpango kazi wa baraza hilo pamoja na kuwasilisha mada mbalimbali kwa watoto hao ikiwemo maana ya baraza hilo, sheria ya mtoto na haki zake, tafsiri ya mtoto, chimbuko la baraza, umuhimu wa baraza, wajibu wa watoto, wajibu wa serikali na wadau kwa baraza pamoja na majukumu ya viongozi wa mabaraza ya watoto.

Mkutano huo wa uundaji wa baraza la watoto wilaya ya Ilemela pia ulihudhuriwa na mwenyekiti wa baraza la watoto wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ndugu Joel Festo Kiumbu, makamu mwenyekiti wa baraza hilo taifa ndugu Apyamwene Nicholaus, mwenyekiti wa baraza la watoto mkoa wa Mwanza ndugu Neema Theonest na watendaji wa kata na maafisa maendeleo wa manispaa kama walezi wa mabaraza hayo.


Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.