• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

BARAZA LA MADIWANI ILEMELA LAJENGEWA UWEZO WA MATUMIZI YA MIFUMO YA TEHAMA

Posted on: March 1st, 2023

Baraza la Madiwani la Manispaa ya Ilemela limejengewa uwezo juu ya matumizi ya mifumo ya TEHAMA, mafunzo hayo yameendeshwa na wataalam wa Kitengo cha TEHAMA Ilemela


Waheshimiwa Madiwani hao wameshukuru kwa mafunzo hayo ambapo wameipongeza serikali kwa kuanzisha mfumo huu unaoenda kuipunguzia halmashauri gharama za uendeshaji wa vikao kuanzia kudurufu makabrasha hadi usambazaji wake.

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilemela, Mhe. Renatus Mulunga amesema kuwa, mfumo huu utakuwa na manufaa kwa sababu unaenda kupunguza gharama za kuandaa makrabasha, itaokoa muda wa kusambaza makabrasha, huku akiwataka Madiwani kuutumia mfumo huu kwa kadri ya maelekezo yatakayotolewa.


Akizitaja faida za mfumo huu Mhe. Sarah lisso amesema kuwa umerahisisha mawasiliano kwani kwa sasa unaweza kuhudhuria kikao popote pale ulipo kwani utatumiwa nyaraka na itaonyesha kama umekubaliana na umepokea nyaraka hizo.

Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela kupitia kitengo cha TEHAMA imeendelea kuboresha matumizi ya TEHAMA ambapo imefanikiwa kuanza kutumia mifumo wa E-BOARD na Mfumo wa Ofisi Mtandao, kwa ajili ya kuendesha shughuli za ofisi ikiwemo uendeshaji wa vikao pamoja na Shughuli zinazohusu mzunguko wa mafaili na nyaraka ndani na miongoni mwa taasisi za umma.

Isack Tanguye, Kaimu Mkuu wa Kitengo cha TEHAMA amefafanua juu ya mifumo hii na kusema kuwa  E- Board ni mfumo uliosanifiwa na serikali mtandao kwa ajili ya uendeshaji wa vikao mbalimbali vya halmashauri, ambao unaenda kupunguzia taasisi gharama za uendeshaji wa vikao, utasaidia kufuatilia yatokanayo ya vikao ikiwa ni pamoja na kufahamu agenda za vikao, ni mfumo rafiki


Ameongeza kusema kuwa Mfumo wa Ofisi Mtandao umetengenezwa ili kuwezesha na kurahisisha shughuli za utawala za kila siku ndani ya Serikali. Shughuli hizo zinahusu mzunguko wa mafaili na nyaraka ndani na miongoni mwa taasisi za umma.


Serikali imeboresha na inaendelea kuboresha miundombinu na mifumo ya TEHAMA ili kurahisisha utoaji wa huduma kwa njia ya mtandao kwa umma kwa uwazi na kwa gharama nafuu.


Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.