• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

BARAZA LA BIASHARA ILEMELA LAHIMIZA USHIRIKIANO KATI YA SEKTA BINAFSI NA ZA UMMA

Posted on: March 18th, 2023

Baraza la biashara Ilemela  limefanyika likiwa na lengo la kuhakikisha yanawekwa mazingira bora kwa wafanyabiashara ili mwisho wa siku waweze kulipa kodi kwa serikali  kwa ajili ya maendeleo ya Taifa.


Kwa nyakati tofauti wajumbe walipongeza Ilemela kwa namna ambavyo wamekuwa wepesi kuzitatua changamoto zinazowasilishwa huku wakiomba utatuzi kwenye masuala ya ushuru wa huduma, ukosefu wa boti za doria, ukosefu wa maji viwandani, ushuru wa taka katika masoko ya mbao na mengineyo.

Nae Ndugu Gabriel Kenene ambae ni Makamu Mwenyekiti wa Baraza hilo akitokea chemba ya biashara Mkoa ametumia kikao hicho kuipongeza serikali kwa namna ambavyo imeendelea kutatua changamoto mbalimbali za watanzania akitolea mfano uboreshaji wa miundombinu sekta ya afya na elimu, ujenzi wa daraja la busisi na mengine mengi ambayo serikali inaendelea kuyatekeleza.


Sambamba na pongezi hizo Ndugu Gabriel amehimiza suala la ushirikishwaji katika masuala mbalimbali pamoja na kuomba tozo zinazoumiza wananchi ziangaliwe, uwekaji wa taa za barabarani pamoja na kuhakikisha suala la usafi linakuwa agenda ya kudumu  ili kuwepo na mazingira rafiki kwa wafanyabiashara huku akiwataka wamachinga kuepusha vurugu na kupunguza malalamiko yasiyo na tija ili Ilemela itengeneze Mwanza mpya.

"Lengo kuu la serikali ni kumhudumia mwananchi apate huduma bora kwa kuweka mazingira wezeshi kwa wafanyabiashara ili kodi iweze kulipwa hivyo tuna kila sababu ya kuipongeza serikali kwa hatua mbalimbali zinazoendelea",alisema Ndugu Gabriel


Akihitimisha kikao hicho Katibu Tawala Wilaya ya Ilemela Ndugu Said Kitinga ambae ndio alikuwa Mwenyekiti amehimiza suala la ushirikiano kwani wote sekta za umma na binafsi zinajenga nyumba moja na kuahidi kuwa changamoto zote zilizowasilishwa zitatafutiwa ufumbuzi.

Baraza la biashara Ilemela hujumuisha serikali na wadau kutoka sekta binafsi wakiwemo viongozi wa makundi mbalimbali ya biashara, wawakilishi wa wafanyabiashara, chemba ya biashara mkoa,taasisi za serikali pamoja na wadau wa maendeleo.

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.