• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

819 WAHUDUMIWA MAADHIMISHO YA SIKU YA AFYA YA LISHE YA MTAA

Posted on: September 16th, 2024

Jumla ya watoto 819 ndani ya Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela katika mitaa mbalimbali wamepata huduma mbalimbali za afya ikiwemo lishe bora ,chanjo,matibabu ya watoto sambamba na mapishi kwa vitendo kupitia jiko darasa.

"…tulikusudia kuhudumia watoto 700 mpaka mwisho wa zoezi kwa awamu ya kwanza tumehudumia watoto 819 sawa na asilimia 117.Huduma hizi ni mwendelezo kwa kila robo ya mwaka.." Amesema afisa lishe wa Manispaa hiyo Bi. Pili Khasim wakati wa maadhimisho hayo katika mtaa wa Isesa kata ya Sangabuye.

Bi.Pili ameongeza kuwa jumla ya watoto 172 kati ya 819 sawa na asilimia 21 ya watoto wote waliohudumiwa wamegundulika kuwa na udumavu na kuanzishiwa matibabu, elimu ya lishe bora imetolewa kwa wazazi wao huku wahudumu wa afya ngazi za mitaa  wakiendelea kuwa karibu na familia zenye changamoto hizo kwa ajili ya ushauri pale inapobidi.

Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela imedhamiria kuendelea na maadhimisho hayo kwa kutoa huduma za kiafya kama vile vipimo vya urefu na uzito ,chanjo mbalimbali, vidonge vya minyoo, matone ya vitamin A na tathimini ya hali ya lishe lengo ikiwa ni kupunguza na kutokomeza kabisa changamoto za udumavu na utapiamlo.

Leah Mabula ni mkazi wa mtaa wa Isesa anapongeza timu nzima iliyofika kutoa huduma za afya mtaani kwao kwa usikivu wao na weledi waliouonyesha kwa watu wote waliohudumiwa.

Maadhimisho ya siku ya afya na lishe ya mtaa kwa awamu ya kwanza yamefanyika kwenye kata za Kayenze,Sangabuye na Bugogwa katika mitaa 10 ya  Lutungo, Iseni, Igalagala, Nyafula, Isesa, Imalangombe, Kabangaja, Igombe B, Sangabuye na Bezi ambapo zoezi hilo limefanyika kwa kushirikiana shirika la USAID kupitia mradi wake wa afya yangu mama na mtoto.

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.