• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA ILEMELA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
      • Mikakati ya MSM
    • Mikakati ya MSM
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha ukaguzi wa ndani
      • Kiengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Uhusiano na TEHAMA
    • Kata
      • Sangabuye
      • Nyasaka
      • Buswelu
      • Nyamhongolo
      • Kayenze
      • Bugogwa
      • Shibula
      • Ilemela
      • Kahama
      • Kiseke
      • Pasiansi
      • Kawekamo
      • Ibungilo
      • Nyamanoro
      • Buzuruga
      • Mecco
      • Nyakato
      • Kirumba
      • Kitangiri
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Uvuvi
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Michezo
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya wah. wabunge na madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • MipangoMiji na Mazingira
      • Uchumi Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba

Shirika la ICAP lakabidhi pikipi 5 kwa Manispaa ya Ilemela

Posted on: January 20th, 2021

Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilemela amepokea jumla ya pikipiki 5 aina ya Boxer 150 kutoka shirika la ICAP kupitia mradi unaojulikana kwa jina la FIKIA  kwa ajili ya kuwafikia watu wanaopata huduma ya kudhibiti maambukizi ya Virusi Vya UKIMWI.

Akikabidhi pikipiki hizo meneja mradi kanda ya Mwanza Bi Mabinza amesema kuwa ICAP imetoa pikipiki hizo ili kuweza kusaidia kufuatilia wateja walio ngazi ya jamii ambao hawajui afya zao na  wanaishi na maambukizi au hapana, pamoja na kuwafuatilia walioacha kutumia dawa za kufubaza makali ya VVU ikiwa ndio lengo kuu la mradi huu wa FIKIA.

Nae Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilemela Ndugu John Wanga akipokea pikipiki hizo amesema kuwa ana imani kuwa pikipiki hizo zitawasaidia kufikia walengwa kama mradi wenyewe unavyoitwa FIKIA huku akiahidia kuwa atazisimamia na kufuatilia matumizi yake.

Pamoja na hayo amewataka waliokabidhiwa pikipiki hizo kwenda kuzitumia kwa malengo ambayo yamekusudiwa na sio kuzigeuza kuwa pikipiki za kibiashara na wahakikishe kuwa wanawafikia walengwa. Huku akiongeza kuwa kinyume na hapo hatashindwa kuwachukulia hatua za kinidhamu.



Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA YA KAZI MTENDAJI WA MTAA March 03, 2021
  • Matokeo Darasa la Saba2020 November 23, 2020
  • Orodha ya Majina ya wanafunzi wavulana na wasichana waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza 2021 shule za kutwa December 19, 2020
  • Orodha ya majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza 2021 -Mahitaji maalum December 19, 2020
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Wataalam wa elimu, afya na ustawi wa jamii wajengewa uwezo wa kupambana na vitendo vya ukatili

    February 23, 2021
  • Kamati za kudumu za Halmashauri zahitimisha ziara robo ya pili 2020/2021

    February 16, 2021
  • Milioni 540 zilivyobadilisha uchumi wa wanawake, vijana na walemavu Ilemela

    February 16, 2021
  • Watumishi makao makuu ya Ilemela wapatiwa elimu ya kukabiliana na majanga ya moto

    February 08, 2021
  • Angalia zote

Video

Madiwani Ilemela waapishwa /wampata meya wao
Video zaidi

Ukurasa wa Karibu

  • Kuhakiki Taarifa za Mpiga Kura
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip
  • Maombi ya leseni ya biashara

Kurasa zinazofanana

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Tovuti Kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Anuani ya Posta: 735 MWANZA

    Simu: + 255 736 200910

    Simu:

    Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki 2019 Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela.Haki zote zimeifadhiwa