• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA ILEMELA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
      • Mikakati ya MSM
    • Mikakati ya MSM
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha ukaguzi wa ndani
      • Kiengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Uhusiano na TEHAMA
    • Kata
      • Sangabuye
      • Nyasaka
      • Buswelu
      • Nyamhongolo
      • Kayenze
      • Bugogwa
      • Shibula
      • Ilemela
      • Kahama
      • Kiseke
      • Pasiansi
      • Kawekamo
      • Ibungilo
      • Nyamanoro
      • Buzuruga
      • Mecco
      • Nyakato
      • Kirumba
      • Kitangiri
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Uvuvi
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Michezo
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya wah. wabunge na madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • MipangoMiji na Mazingira
      • Uchumi Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba

Mkurugenzi aitaka idara ya Elimu kuhakikisha vifaa vinawafikia walengwa

Posted on: January 23rd, 2021

John Wanga, Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilemela ameitaka Idara ya elimu kuhakikisha vifaa  vya watoto wenye mahitaji maalum vinawafikia wahusika waliokusudiwa pamoja na kutoa miongozo ya namna ya kuvitumia na kuvitunza ili vikawe msaada kwa kundi husika.

Ameyasema hayo alipokuwa akipokea vifaa mbalimbali kwa ajili ya watoto wa Ilemela wenye mahitaji maalum kutoka serikali kuu kupitia Ofisi ya Rais TAMISEMI.

Aidha alisisitiza kuwa ni jukumu la jamii nzima kila mmoja kwa nafasi yake kuwapenda na kuhakikisha watoto wenye mahitaji maalum wanakuwa salama na kupata mahitaji yao yote ya msingi kwa wakati.

Pamoja na hayo ameishukuru serikali ya Rais Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli kwa kuonyesha upendo na kuguswa kwa namna tofauti katika kuwatetea na kuona umuhimu wa kundi hili maalum ndani ya jamii yetu.

Makundi ya wanafunzi hao wenye mahitaji maalum ni pamoja na  wanafunzi wenye ulemavu wa akili na usonji, viziwi, wasio ona, albino pamoja na wenye ulemavu wa viungo vya mwili waliopo katika shule za msingi za serikali zenye mahitaji maalum katika Manispaa ya Ilemela ambazo ni Ibeshi, Kayenze, Buswelu, Nyamanoro, Sabasaba, Kirumba na Pasiansi

Jumla ya Vifaa 338 vilivyopokelewa ni pamoja na vifaa vya kufundishia kuandika na kusoma ‘alphabet training plate’, vifaa vya kuandikia kwa ajili ya wasio ona, miwani ya kupunguza mionzi ya jua , kengele pamoja na vifaa vingine kwa ajili ya michezo.

Vifaa hivi vimelenga kuhakikisha watoto wote wakitanzania wanapata elimu iliyokusudiwa ikiwa ni katika kuhakikisha kuwa sera ya Elimu ya mwaka 2014 inatekelezwa




Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA YA KAZI MTENDAJI WA MTAA March 03, 2021
  • Matokeo Darasa la Saba2020 November 23, 2020
  • Orodha ya Majina ya wanafunzi wavulana na wasichana waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza 2021 shule za kutwa December 19, 2020
  • Orodha ya majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza 2021 -Mahitaji maalum December 19, 2020
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Wataalam wa elimu, afya na ustawi wa jamii wajengewa uwezo wa kupambana na vitendo vya ukatili

    February 23, 2021
  • Kamati za kudumu za Halmashauri zahitimisha ziara robo ya pili 2020/2021

    February 16, 2021
  • Milioni 540 zilivyobadilisha uchumi wa wanawake, vijana na walemavu Ilemela

    February 16, 2021
  • Watumishi makao makuu ya Ilemela wapatiwa elimu ya kukabiliana na majanga ya moto

    February 08, 2021
  • Angalia zote

Video

Madiwani Ilemela waapishwa /wampata meya wao
Video zaidi

Ukurasa wa Karibu

  • Kuhakiki Taarifa za Mpiga Kura
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip
  • Maombi ya leseni ya biashara

Kurasa zinazofanana

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Tovuti Kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Anuani ya Posta: 735 MWANZA

    Simu: + 255 736 200910

    Simu:

    Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki 2019 Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela.Haki zote zimeifadhiwa