• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

ZAIDI YA WANANCHI 7018 WA ILEMELA WAJIUNGA NA CHF ILIYOBORESHWA

Posted on: January 14th, 2020

Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela ilianza mpango wa CHF iliyoboreshwa mnamo mwezi Februari mwaka 2019 ambapo hadi sasa zaidi ya wananchi 7018 sawa na kaya 1275 wameshajiandikisha kunufaika na huduma hii tangu kuanza kwa mpango huu.

Adventina Masululi ni mratibu wa bima ya afya iliyoboreshwa ya CHF katika Manispaa ya Ilemela amesema kuwa, bima hii inatoa fursa kwa mtu mmoja hadi sita katika kaya kujinga na kulipia gharama ya kiasi cha shilingi za kitanzania 30,000 kwa mwaka.

Aliongeza kuwa, mwananchi yoyote ambae hana kadi ya bima ya afya anaruhusiwa kujiunga na bima hii iliyoboreshwa ambapo mwananchi atafika katika mtaa husika na kujiandikisha kwa ajili ya kujiunga na mara baada ya kukamilika kwa taratibu zote atapatiwa kadi papo hapo.

Aidha aliendelea kufafanua faida ya kuwa mwanachama wa bima hii ikiwemo kupata huduma za afya katika vituo vyote vya Serikali bila ya kuwa na fedha taslimu, kupata huduma kwa gharama nafuu ukilinganisha na idadi kubwa ya namba ya watu wanaonufaika.


‘.. Bima hii ya afya iliyoboreshwa itamsaidia mwananchi kupata huduma katika vituo vyote vya kutolea huduma vya Serikali kwa gharama nafuu na kwa haraka  ...’ Alisema


Pamoja na hayo alizitaja changamoto wanazokabiliana nazo katika mpango wa Bima ya afya iliyoboreshwa ikiwemo upungufu wa vifaa vya kutendea kazi, baadhi ya maafisa waandikishaji kutowasilisha kwa wakati michango inayotolewa na wanufaika na ugeni wa teknolojia inayotumika katika kufanikisha zoezi hilo.


Mwanafunzi Amina Hasani na Bi Mwanne German ni miongoni mwa wanufaika wa bima ya afya iliyoboreshwa ya CHF Kutoka kata ya Nyakato, manispaa ya Ilemela ambapo wametaja manufaa waliyoyapata kwa kuwa wanachama wa huduma hiyo zikiwemo kupata huduma kwa haraka na gharama nafuu huku wakiamini kuwa bila uwepo wa huduma hii ingekuwa ngumu kwa wao kugharamia matibabu kutokana na hali ya uchumi waliyonayo.

CHF iliyoboreshwa ni bima ya afya ya jamii ambayo ina lengo la kusaidia jamii ya Kitanzania kupata huduma ya matibabu ya afya kwa gharama nafuu, kwa kupata matibabu ya afya kwa mwaka mzima kuanzia ngazi ya zahanati, kituo cha afya, hospitali ya wilaya na mkoa kwa rufaa.



Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.