• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

Posted on: April 30th, 2025

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela Bi.Ummy Wayayu amesisitiza utolewaji wa huduma bora za afya kwa wateja wote wanaopatiwa huduma hizo ndani ya vituo vya kutolea huduma za afya vilivyopo ndani ya Manispaa hiyo ikiwa ni sehemu ya watumishi wa idara ya afya kuwajibika ipasavyo kwa lengo la kutoa huduma za viwango vinavyokubalika.

Akizungumza na timu ya wataalam wa kusimamia huduma za afya katika vituo vya afya vilivyopo ndani ya Manispaa hiyo wakati wa kikao cha kawaida kujadili mwenendo wa takwimu na utendaji kazi kwa kipindi cha Julai – Desemba 2024/2025 Bi.Ummy amewataka wataalam hao kuendelea kutoa huduma nzuri kwa watu wote kwa kuzingatia umuhimu mkubwa wa suala la afya .

“..afya ni jambo nyeti sana,bila kuwa na afya nzuri huwezi kufanya kitu chochote ninyi mna jukumu la kuhakikisha jamii inakuwa salama nataka wananchi wetu wote wahudumiwe kwa usawa wanapokwama waelekezwe..”

Ameongeza kuwa ni lazima kwa vituo vyote kutoa huduma kupitia mifumo ya afya ya kieletroniki iliyowekwa na serikali huku akiahidi kutatua changamoto ya mtandao katika baadhi ya maeneo ndani ya Manispaa yake.

Akitoa taarifa kwa Mkurugenzi wa Manispaa hiyo mganga mkuu wa Wilaya ya Ilemela Dkt.Maria Kapinga amesema timu yake ya wataalam wa afya wanaendelea kufanya kazi kubwa ya kuelekezana wao kwa wao kupitia vikao kama hivyo ili kuleta maboresho kila siku na kupongeza wataalam wa chanjo kwa kufikia malengo huku zoezi la elimu kwa umma likiendelea nyumba kwa nyumba.

Mkurugenzi Ummy ametoa pongezi kwa kazi nzuri inayofanywa na idara ya afya Ilemela ya kutoa taarifa zake za fedha kwa weledi na kwa wakati hali inayoisaidia taasisi yake kuona mapungufu mapema na kuyatafutia ufumbuzi huku akizitaka idara zingine za Manispaa hiyo kuiga mfano huo.

Aidha Bi.Ummy ametoa vyeti vya pongezi kwa vituo vya afya vilivyofanya vizuri katika matumizi ya mfuko wa pamoja wa huduma za afya (HSBF) ambao ni kituo cha afya Karume na zahanati ya Kirumba huku walioongoza kwa huduma ya chanjo wakiwa ni kituo cha afya Buzuruga na zahanati ya Kabusungu na vituo vilivyoongoza kwa ukusanyaji wa mapato Buzuruga kituo cha afya na zahanati ya Pasiansi.

“..Inatia moyo kuona viongozi wetu wanatambua mchango wetu,tunaahidi kuwa bora zaidi katika utoaji huduma za afya kwa wateja wetu..”amesema mgaganga mfawidhi wa kituo cha afya Buzuruga Dkt.William Ntinginya

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.