• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

WILAYA YA ILEMELA YAKABIDHIWA MRADI WA MAJI WA THAMANI YA SHILINGI MILIONI 80

Posted on: October 9th, 2017

WILAYA YA ILEMELA YAKABIDHIWA MRADI WA MAJI WA THAMANI YA SHILINGI MILIONI 80




Wilaya ya Ilemela imekabidhiwa mradi wa maji wenye thamani ya Tsh Milioni 80 kutoka katika kampuni ya bia ya Serengeti.


Mradi huu wa maji safi utahudumia takriban wananchi 7560 wa Mtaa wa Kaghua katika kata ya Nyamhongolo na unao uwezo wa kuzalisha maji lita 4000 kwa saa.


Akizindua mradi huo Mhe Mbunge wa Jimbo la Ilemela, Dr.Angeline Mabula ameushukuru uongozi wa kampuni ya bia Serengeti na kusema kuwa amefarijika kuona kuwa ipo mstari wa mbele katika kusaidia maeneo yanayoigusa jamii yetu moja kwa moja.


“Ni dhahiri kuwa chanzo cha maji kilichopo hakikuweza kutoshelea mahitaji ya eneoo letu na hivyo basi kuona umuhimu wa kuchimba kisima ili kuweza kutosheleza mahitaji ya maji ya wakazi wa hapa”, Alisema


Aidha ametoa wito kwa uongozi na  wananchi wa eneo hilo kuhakikisha kuwa mradi huu unalindwa ili kuufaya kuwa endelevu kwa ustawi wa jamii husika.


Nae Mkurugenzi wa mawasiliano wa kampuni hiyo ndugu John Wanyancha, alisema kuwa mradi huo ujulikanao kama maji ni uhai hautasaidia tu kuboresha afya za wakazi wa eneo hilo , bali utaongeza uzalishaji mali kwa kuwa wasichana na akina mama hawatatembea tena umbali mreu kutafuta maji na kuongeza kuwa utawapa wasichana muda zaidi wa kuhudhuria shule.


Akiushukuru Uongozi wa kampuni ya bia Serengeti Mtendaji wa kata ya Nyamhongolo kwa niaba ya wananchi, aliahidi kuwa watautunza mradi huo na kuulinda kwa kushirikiana na kamati ya maji iliyoundwa ili kuhakikisha mradi huo unabaki katika ubora wake


Mradi huu wa maji umejengwa na kampuni ya bia ya Serengeti kwa kushirikiana na shirika la AMREF ikiwa ni jitihada za Mhe mbunge wa jimbo la Ilemela katika kutatua changamoto za wananchi wake.



Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.