• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Watumishi makao makuu ya Ilemela wapatiwa elimu ya kukabiliana na majanga ya moto

Posted on: February 8th, 2021

Watumishi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela mapema leo wamepatiwa elimu kuhusiana na namna ya kukabiliana na majanga ya moto katika taasisi n ahata katika nyumba zao.


Akitoa elimu hiyo Mkuu wa Zimamoto na uokoaji wa Wilaya ya Ilemela, Inspekta Deus Rutta aliwaonyesha kwa vitendo namna ya kuvitumia vifaa vya kuzimia moto vilivyopo na huku akisisitiza kuwa hutakiwi kukimbia moto unapotokea bali kuzingatia mafunzo waliyopatiwa.

Alifafanua aina za moto zilizopo na kuwa zipo katika madaraja tofauti, na kuwa sio kila kizimio cha moto kitazima aina yoyote ya moto.Aidha alisisitiza kuwa moto unapotokea kuhakikisha kuwa umeme umezimwa mara pindi moto unapotokea na sio kutumia maji kuzima moto huo hali ya kuwa umeme bado unawaka.


Halikadhalika alielezea namna ya kuzima moto unaotokana na gesi huku akisisitiza kuwaelimisha wasichana wa kazi wanaoachwa majumbani kuhusiana na matumizi mazuri ya gesi ili kuweza kuepukana na majanga ya moto ambayo kwa sasa yamekithiri.


“Takriban asilimia 80 ya majanga yanayotokea kwa sasa ni yanayotokana na gesi hivyo ni vizuri kwenda kuwaelimisha na wasichana wa kazi mnaowaacha majumbani juu ya elimu hii ya namna ya kukabiliana na moto na kuhakikisha matumizi mazuri ya vifaa vya moto ikiwemo ges”, Amesema


Pamoja na hayo amewataka watumishi hao kuhakikisha kuwa wanapojenga nyumba za kuishi ni vizuri kukawepo mlango wa dharura wa kutokea pindi janga la moto linapotokea ili kuepusha madhara yatokanayo na moto ikiwa ni pamoja na kifo.

Mmoja wa watumishi alimshukuru Inspekta Rutta kwa elimu hiyo yenye manufaa kwa taasisi na hata majumbani huku akiwaomba kuendelea kutoa elimu hii katika taasisi mbalimbali hususan katika shule zilizopo wilayani na kwingine.


Akihitimisha mafunzo hayoambapo watumishi walipata fursa ya kufanya majaribio, pia amewataka kueneza elimu hii ya namna ya kukabiliana na majanga ya moto, na kusema kuwa kitengo chao cha zimamoto na uokoaji hutoa elimu hii bure popote pale wanapoitwa na huku akitoa namba ya kupiga iwapo moto umetokea kuwa ni 114





Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.