• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

WATENDAJI ILEMELA WAPATIWA MAFUNZO MFUMO WA ANWANI ZA MAKAZI

Posted on: April 15th, 2025

Ikiwa ni sehemu ya maboresho ya mfumo wa kidigitali wa anwani za makazi (NaPA), serikali ya Tanzania kupitia ushirikiano wa wizara ya mawasiliano na teknolojia ya habari,Wizara ya Ardhi na maendeleo ya makazi na Ofisi ya Rais TAMISEMI wameungana kuendeleza utekelezaji wa operesheni anwani za makazi iliyozinduliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan mnamo Februari 2022 kwa kutoa mafunzo ya maboresho ya mfumo huo ngazi za Halmashauri.

Akifungua mafunzo hayo yaliyohusisha Wenyeviti wa mitaa, watendaji wa kata na mitaa kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela Bi.Neema Semwaiko amewataka wahudhuriaji wa mafunzo hayo kuwa wasikivu na kulinda taarifa wanazopewa na wananchi.

".. taarifa zinazokusanywa mitaani ni muhimu kwa maendeleo ya Ilemela yetu kidigitali,niwatoe hofu wananchi kuwa taarifa zenu zinatumika kwa matumizi ya kiserikali na zinalindwa.."

Akitoa mafunzo ya mfumo wa NaPA mtaalam wa mfumo huo kutoka wizara ya mawasiliano na teknolojia ya habari Bi.Rehema Chillo ametaja faida za mfumo huo kuwa ni kurahisisha huduma mbalimbali za kijamii kama vile huduma za afya magari ya wagonjwa na magari ya zimamoto yatafika kwa urahisi , huduma za posta na usafirishaji wa vifurushi hadi mahali husika,kuimarisha shughuli za kibiashara sambamba na kuimarisha ulinzi na usalama kwani eneo na watu wake watakuwa wametambuliwa.

Hosea Emmanuel ni mtendaji wa kata ya Kawekamo yeye anasema ameupokea vizuri mfumo huo kwani utarahisisha utendaji kazi kidigitali ambapo barua za utambulisho wa wananchi katika masuala mbalimbali zinaweza kupatikana ndani ya mfumo huo huku akiwasisitiza wananchi kutoa ushirikiano katika zoezi la ukusanyaji taarifa mitaani pale zitakapohitajika na kujisajili kupitia mfumo wa NaPA.

Ni malengo ya serikali ya awamu ya sita kuimarisha miundo mbinu ya mawasiliano kwa wananchi wake ili kukuza uchumi wao na kuleta maendeleo ndani ya jamii.

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.