• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

WANANCHI KIGALA WAASWA KUKUBALIANA MASUALA YENYE MASLAHI KWA JAMII

Posted on: September 24th, 2024

Wananchi mtaa wa Kigala uliopo kata ya Buswelu ndani ya Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela wametakiwa kukubaliana kwa masuala yote yenye manufaa kwa jamii huku akiwaasa wananchi hao kukubali kutoa eneo kuruhusu ujenzi wa zahanati kuanza wakati masuala ya fidia yakiendelea kushughulikiwa.

Rai hiyo imetolewa na mbunge wa jimbo la Ilemela Mhe.Dkt.Angeline Mabula wakati wa muendelezo wa ziara zake za kusikiliza kero na  kukagua miradi ya maendeleo kata kwa kata wakati wa mkutano wa hadhara katika mtaa wa Kigala.

Akijibu kero ya Mgeni Juma mkazi wa mtaa wa Kigala Mhandisi Uswege Jacob kutoka wakala wa barabara mijini na vijijini (TARURA) amesema TARURA inaendelea kutenga bajeti kila mwaka kwa ajili ya kurekebisha miundo mbinu ya barabara huku akikiri uwepo wa mtandao mkubwa wa barabara wa zaidi ya 1900km huku bajeti ikilenga mtandao wa 800km.

"..tunayo changamoto ya ufinyu wa bajeti kukidhi matengenezo ya barabara zote kwa mara moja.Tunachofanya ni marekebisho madogomadogo kuwezesha barabara hizo kupitika na punde fedha zitakapopatikana zitajengwa.."

Kuhusu kero za Ardhi Grace Massawe Afisa Ardhi wa Manispaa ya Ilemela amesema hati sio mwisho wa haki kama itagundulika kuna watu waliopata hati miliki bila kufuata utaratibu mchakato wa kufuta hati hizo utafanyika mara moja ili kurudisha viwanja kwa wamiliki halali.

Nae mwakilishi wa Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilemela Jeremiah Lugembe amesema suala la ulipaji wa fidia linaendelea kadri ya fedha za makusanyo ya ndani zinavyopatikana huku akiwahakikishia wananchi wa kata ya Buswelu ukuta wa shule ya msingi Kaserya kujengwa na mradi wa uboreshaji miundo mbinu ya miji na mazingira (TACTIC) wanaojenga barabara ya Buswelu - Busenga- Coca cola 3.3km unaofadhiliwa na benki ya dunia.

Mhe.Mabula amewataka wananchi hao kuungana ili kupata eneo kwa ajili ya ujenzi wa zahanati unaosuasua kwa sasa kutokana na wenyeji wa maeneo hayo kudai kulipwa fidia kwanza.

Akihitimisha mkutano huo Mhe.Mabula amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha kuanzia tarehe 11- 20 Oktoba 2024 kwa ajili ya kupiga kura na watakaoweza kugombea kuomba nafasi mbalimbali.

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.