• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

"WALETENI WAGONJWA AWA MDOMO WAZI HOSPITALI YA WILAYA YA ILEMELA"-DR GLADSON

Posted on: November 13th, 2024

Jamii imetakiwa kuwafikisha katika hospitali ya wilaya ya Ilemela wagonjwa wenye shida ya ulemavu wa mdomo wazi ili waweze kufanyiwa upasuaji sanifu na urekebishaji bila gharama zozote, kwa muda wote ili kuwaondolea unyanyapaa katika jamii.

 

Rai hiyo imetolewa na Daktari Barnabas Gladson kutoka kitengo cha afya ya kinywa na meno hospitali ya wilaya ya Ilemela wakati wa zoezi la upasuaji kwa watoto wenye mdomo wazi linaloendelea kufanyika katika hospitali ya wilaya ya Ilemela ambapo amewataka viongozi wa mitaa, mabalozi na wananchi wote kwa ujumla kuwafikisha katika vituo vya kutolea huduma watu wenye mdomo wazi kwaajili ya matibabu

 

‘... Shida ya mdomo wazi ni tatizo linalotibika, mtoto anaweza kupata unyanyapaa mkubwa sana kama ataendelea kuwa na hili tatizo, Sasa utalaam huu umefika kwetu na huduma hii inatolewa bure na wakati wowote unapopata mtu mwenye tatizo hili mfikishe hospitali ya wilaya ya Ilemela ili apate huduma ...’ Alisema

 

Aidha Dkt Barnabas amesisitiza kuwa ufanikishaji wa upasuaji na urekebishaji wa mdomo wazi utasaidia watoto au wagonjwa wengine kuweza kuendelea na shughuli zao za kila siku na kufikia ndoto zao sanjari na kusisitiza kutoogopa na kuwafikisha katika vituo vya huduma watu wote watakaobainika kuwa na changamoto hiyo

 

Bi Frida Mtungirehi Mtachoka ni mtaalam wa huduma za usingizi katika hopsitali ya wilaya ya Ilemela ambapo amefafanua kuwa kufanyika kwa huduma hizo katika hospitali hiyo kutawaongezea uzoefu na ujuzi mpya katika kazi za kila wanazozifanya za kutoa huduma kwa wananchi huku akiwakumbusha wataalam wenzake kuzingatia na kufanyia kazi juzi mpya zinazopatikana kupitia zoezi hilo linaloendeshwa katika kituo chao

 

Nae Bi Elina Matata kutokea wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma ambae ni mzazi wa mtoto Neila Adrian mwenye changamoto ya ulemavu wa mdomo wazi akasema kuwa amepata taarifa za uwepo wa huduma bure za upasuaji sanifu na urekebishaji wa ulemavu wa mdomo wazi kutoka katika uongozi wa serikali ya mtaa wa Buswelu pamoja na kushukuru kwa uwepo wa huduma hiyo huku akiwaomba wazazi na walezi wengine kuwafichua na kuwafikisha katika vituo vinavyotoa huduma kwaajili ya matibabu

 

Manispaa ya Ilemela inaendesha zoezi la upasuaji sanifu na urekebishaji wa mdomo wazi maarufu mdomo Sungura katika hospitali yake ya wilaya iliyopo  eneo la Isanzu kata ya Sangabuye kwa siku zote na muda wote bila gharama yeyote kwa wananchi wa maeneo yote

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.