• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

Posted on: April 28th, 2025

Ikiwa imesalia takriban miezi mitano kufika ukomo wa mpango wa kunusuru kaya maskini (TASAF) walengwa wa mpango huo wameaswa kuendelea na utaratibu wa kuwekeza kwenye vikundi walivyovianzisha wao wenyewe vya kuweka akiba na kukopeshana ikiwa ni njia ya kukuza mzunguko wa fedha sambamba na kujenga nidhamu ya matumizi ya fedha walizozipata kupitia mfuko huo.

Akizungukumza na walengwa wa kata ya Buswelu wakati wa zoezi la uhawilishaji fedha kwa kipindi cha Januari – Februari ,2025 mwezeshaji kutoka TASAF Ilemela Eva William amesema ni muhimu kwa walengwa wote kuendeleza utamaduni wa kujishughulisha na shughuli ndogo ndogo za kuwaingizia kipato na kuweka akiba.

“.. Mpango huu unaelekea kufika mwisho,wengi hapa mmenufaika kwa namna tofauti tofauti kuna watu walikuwa wanakula mlo mmoja sasa hivi wanakula milo miwili hadi mitatu,muendelee kuwekeza kwenye vikundi vyenu vya kukopeshana ili kutoruhusu hali ya umaskini mliyokuwa nayo awali irudi tena . .”

Nae mratibu wa TASAF Manispaa ya Ilemela Leonard Robert ametoa rai kwa walengwa hao kuhusu ukomo wa mpango wa kunusuru kaya za walengwa (PSSN II) ifikapo Septemba 2025 huku akiwasihi walengwa kujipanga kisaikolojia na  kuendeleza vikundi vyao kwa ajili ya kujiandaa kujitegemea na kujiimarisha zaidi kiuchumi.

Hellena Ndutwa ni mkazi wa mtaa wa Bulola A uliopo kata ya Buswelu yeye anakiri kunufaika na TASAF kwa kipindi cha miaka mitano akiwa mlengwa kwa kufanikiwa kusomesha jumla ya watoto 5 ambapo watatu wapo sekondari na wawili shule ya msingi na mmoja anaendelea kupatiwa huduma za afya kliniki.

“..ninafuraha hata kama mpango unakwisha lakini nina nafuu ya maisha watoto na wajukuu zangu wameshavuka hatua flani kielimu na mimi sijakaa tu najishughulisha na kilimo cha mboga mboga na ninafanya vibarua vya kulima na shughuli mbalimbali za majumbani zinazoniingizia kipato,kwa kweli TASAF wamenitoa gizani.."

Jumla ya kiasi cha shilingi milioni 131,381,298.00 zinatarajiwa kutolewa kwa kaya maskini 3,545 ambapo kaya 29 zitalipwa pesa taslimu na kaya 3,516 zinalipwa kwa njia ya mtandao (kupitia simu na benki) ndani ya Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela ikihusisha mitaa yote 171 katika zoezi la malipo ya mkupuo mmoja wa dirisha la Januari/Februari ,2025 lililoanza leo tarehe 28 hadi 30 Aprili, 2025.

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.