• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

RAI YATOLEWA KWA JAMII KUWAJALI WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

Posted on: December 4th, 2024

Jamii imeshauriwa kuwajali watoto wenye mahitaji maalum kwa kushiriki utatuzi wa kero na changamoto zao ili waweze kufikia ndoto zao.

 

Rai hiyo imetolewa na mwakilishi wa mkurugenzi wa manispaa ya Ilemela ambae pia ni afisa elimu msingi wa manispaa hiyo Mwalimu Mashelo Bahame wakati akipokea msaada wa vitu mbalimbali ikiwemo Sabuni, Mchele, Mafuta ya kupakaa, Miswaki, Sukari na dawa ya meno kwa ajili ya wanafunzi wenye mahitaji maalum wanaosoma shule ya msingi Kirumba kutoka kwa mdau Bi Leah Mihayo.

 

Aidha Mwalimu Mashelo amempongeza mdau wa maendeleo Bi Leah Mihayo kwa kuguswa na kuwa sehemu ya utatuzi wa kero na changamoto zinazokabili kundi hilo katika jamii huku akiwataka wadau wengine kuiga mfano huo

 

Amefafanua kuwa Serikali ya Rais Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan imefanya jitihada kubwa kuhakikisha watoto wenye mahitaji maalum wanapata elimu katika mazingira bora na rafiki na kwamba kazi hiyo haiondoi wajibu wa wadau kwa kundi hilo katika jamii.

 

Akikabidhi msaada huo kwa watoto hao Bi Leah Mihayo amesema kuwa kila mwaka amekuwa na utaratibu wa kutoa sadaka kama sehemu ya kusaidia watoto wenye mahitaji maalum ambapo amekuwa akitoa vitu mbalimbali kwa kadri ya uwezo wake huku akiipongeza manispaa ya Ilemela kwa ushirikiano inaompatia pindi anapoendesha mazoezi hayo huku akiitaka jamii kuyapa kipaumbele makundi yenye mahitaji katika jamii kwa kadri ya nafasi zao.

 

Sarah Ulimboka ni afisa elimu maalum manispaa ya Ilemela ambapo amesema kuwa mdau wa maendeleo Bi Leah Mihayo ni kiungo muhimu katika kutatua kero na changamoto zinazokabili watoto wenye mahitaji maalum katika wilaya hiyo huku akimshukuru kwa kazi kubwa na nzuri anazozifanya pamoja na kuitaka shule ya msingi Kirumba kushirikiana katika kutatua changamoto za kundi hilo muhimu katika jamii

 

Nae Mwalimu mkuu wa shule ya msingi Kirumba Michael Menard Mwilenga licha ya kumshukuru mdau huyo kwa msaada wake ameipongeza serikali kwa uwekezaji mkubwa inaoufanya katika kutatua changamoto za watoto wenye mahitaji maalum huku akiomba na watu wengine wenye uwezo kujitokeza kusaidia watoto hao ili kupunguza kero zinazowakabili

 

 

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.