• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

MILIONI 739 ZATUMIKA KUTEKELEZA MIRADI YA MAENDELEO KATA YA NYAMANORO

Posted on: September 26th, 2024

Kiasi cha shilingi milioni 739 kimetumika kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo ndani ya kata ya Nyamanoro jimbo la Ilemela ikiwemo miradi ya elimu, afya na miundo mbinu ya barabara.

Hayo yamebainishwa na mbunge wa jimbo la Ilemela Mhe. Dkt. Angeline Mabula wakati wa muendelezo wa ziara yake jimboni kwa ajili ya kusikiliza kero za wananchi, kukagua miradi ya maendeleo na kuhamasisha ushiriki wa uchaguzi wa serikali za mtaa, kujiandikisha katika daftari la mkaazi na kilele cha mbio za Mwenge katika viwanja vya mtaa wa Mnyapala ambapo amewataka wananchi wa kata hiyo kumpongeza na kumshukuru Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha hizo za miradi.

".. Tuna kila sababu ya kusema ahsante Dkt. Samia, ametoa fedha nyingi sana kufanikisha miradi ya maendeleo, Ilemela kama jimbo tumeendelea kunufaika na fedha za miradi mbalimbali na hata nyie Nyamanoro mmenufaika pia, miradi mikubwa inaendelea kutekelezwa, barabara nyingi zinaendelea kufunguliwa ndani ya kata yenu .." Alisema

Aidha Mhe.Mabula ameongeza kuwa serikali ya awamu ya sita imeendelea na kasi ya kukamilisha miradi mikubwa na ya kimkakati ikiwemo reli ya mwendo kasi na kisasa ya SGR, daraja la Busisi, meli kubwa za MV Mwanza Hapa Kazi Tu, upanuzi wa uwanja wa ndege Mwanza na miradi mikubwa ya maji hivyo kuwaasa wananchi kuendelea kushirikiana na Serikali ili kuharakisha maendeleo.

Kwa upande wake diwani wa kata ya Nyamanoro Mhe.George Maganiko Ngaka mbali na kuishukuru serikali kwa fedha za miradi ya maendeleo amempongeza mbunge huyo kwa kuchochea shughuli za maendeleo ndani ya kata yake pamoja na kuahidi kuendelea kushirikiana nae ili kuwaletea maendeleo wananchi wake.

Jeremiah Lugembe ni mwakilishi wa mkurugenzi wa manispaa ya Ilemela amesema manispaa ya Ilemela itaendelea kutenga fedha za mapato ya ndani na serikali kuu kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ndani ya kata hiyo ili kurahisisha upatikanaji wa huduma na kutatua kero za wananchi .

Joachim Elias na Anna Samuel ni wananchi wa kata ya Nyamanoro kwa nyakati tofauti wameishukuru Serikali kwa kutekeleza miradi mingi ndani ya kata yao .

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.