• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

MHE MABULA AKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA, ASISITIZA MATUMIZI BPRA YA ARDHI

Posted on: July 4th, 2023

"Ardhi yote inapaswa kupangiwa matumizi bora kulingana na eneo na shughuli inayokusudiwa kutekelezwa katika eneo husika.Ujenzi wa shule uzingatie mpangilio mzuri wa miundo mbinu yake ili kuleta mvuto sambamba na kuweka vitu vingi zaidi vyenye tija kwa kutumia eneo linalotosheleza . "


Hayo yamesemwa na Mbunge wa Ilemela Mhe.Angeline Mabula ambaye pia ni Waziri wa ardhi, nyumba na maendeleo ya makazi wakati wa ziara ya ukaguzi na kutembelea miradi ya Boost ambayo inahusisha ujenzi wa miundombinu ya shule za msingi na awali ambapo Manispaa ya Ilemela ilipokea jumla ya shilingi Bilioni 1.57 kutoka serikali kuu kupitia mradi wa BOOST .


Katika ziara hiyo Mhe.Mabula amewataka wataalam na wananchi wote kwenye maeneo ya miradi ya maendeleo inakotekelezwa kuwa waadilifu katika matumizi ya fedha na kubeba umiliki wa miradi yote na kuzingatia nguvu ya utatu katika utendaji wao ambapo wananchi ,serikali na Mbunge wanapaswa kuwa wamoja ili kufanikisha malengo waliojiwekea kwa wakati.


Aidha Mhe.Mabula amemshukuru Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kutoa fedha nyingi kwa ajili ya miradi mbalimbali huku akifafanua kuwa zaidi ya shilingi Bilioni 50 zimepokelewa katika wilaya ya Ilemela kutoka serikali kuu ndani ya miaka miwili ya uongozi wa Mhe.Samia.


Nae Mkuu wa Wilaya ya Ilemela Mhe.Hassan Masala ametoa pongezi kwa timu nzima ya uongozi na wataalam wa Ilemela walioshiriki tangu mwanzo wa zoezi la usimamizi wa miradi hiyo inayoendelea hadi hatua iliyofikia sasa na kuwasihi kuendeleza ushirikiano .



Madiwani kutoka kata za Kahama na Buswelu kwa niaba ya wananchi wao, ambapo shule mpya za msingi zinajengwa kupitia mradi wa BOOST wamemshukuru Mhe. Samia kwa fedha kiasi cha Shilingi Milioni 540.3 kwa kila shule kwani shule hizo zinaenda kuondoa changamoto ya wanafunzi ya kutembea umbali mrefu kwenda kufuata elimu na kusema kuwa lilikuwa hitaji la muda mrefu katika maeneo hayo shule zinapojengwa

Miradi mingine iliyotembelewa ni pamoja na ujenzi wa bweni kwa ajili ya watoto wenye mahitaji maalum  na zahanati ya Lumala.



Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.