• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

JAMII NZIMA INAHUSIKA KATIKA JUKUMU LA MALEZI NA MAKUZI YA WATOTO

Posted on: December 18th, 2024

Malezi na makuzi ya watoto ni jukumu la jamii nzima kuanzia ngazi ya familia ikihusisha wahusika wakuu baba na mama katika kuhakikisha familia inakuwa salama na kuondoa mazoea ya kumwachia mama kila kitu hali inamfanya kuwa na majukumu mengi wakati mwingine kumzidia.

Hayo yamesemwa na Katibu tawala Msaidizi,Mipango na uratibu Mkoa waMwanza ndugu Shilungi Ndaki wakati wa kikao cha mrejesho na kuthibitisha matokeo ya utafiti juu ya Mwingiliano kati ya malezi na ustawi wa mtoto na uwezo wa mwanamke kufanya chaguo na maamuzi yanayotambuliwa na kuheshimiwa,utafiti uliofanywa na shirika lisilo la kiserikali Tanzania Home economics Organization (TAHEA –Mwanza) ndani ya Halmashuri ya Manispaa ya Ilemela ikihusisha kata mbili za Bugogwa na Sangabuye.

“ ..Nawapongeza sana TAHEA na washiriki wote waliofanikisha utafiti huu,najua sio kazi rahisi na najua mwisho wa tafiti ni mwanzo wa tafiti nyingine kubwa ni kwa wataalam kuhakikisha tunaelewa ili iwe rahisi kufikisha ujumbe kwa jamii zetu tunazozihudumia..”

Akizungumza wakati wa uwasilishaji wa taarifa ya utafiti huo Mtafiti Lorraine Kiswaga amesema utafiti umeonyesha malezi ya watoto ni muhimu sana ndani ya siku 1000 za mwanzo tangu kuzaliwa kwa mtoto kwani ni wakati ambao akili ya mtoto inakuwa hivyo ni lazima kutengeneza mazingira mazuri yatakayochochea makuzi na malezi imara.

Aidha Bi.Lorraine amesema lengo la utafiti huo ni kuelewa zaidi kuhusu vipengele mbalimbali  vinavyoathiri maisha na fursa za wanawake,kuangalia uwezo wa mwanamke kushiriki katika masuala ya kiuchumi yanayoweza kuathiri utolewaji wa huduma za kijamii kama lishe bora kwa mtoto huku akibainisha changamoto ya kina mama kushindwa kutoa majibu kwa maswali ambayo majibu yake wanayafanyia kazi na kuyaishi kila siku katika maisha yao ya kawaida kama vile kunyonyesha watoto wao.

“..serikali izidi kuboresha sera na miongozo katika kuwawezesha wanawake kiuchumi ,kupata ulinzi wa kisheria na kuongeza huduma ya afya ya akili itakayoweza kusaidia jamii hasa wanawake wanaopitia changamoto mbalimbali katika malezi ya watoto..” Amesema Bi.Lorreine

Janeth Paulo ni mzazi kutoka mtaa wa Igumamoyo uliopo kata ya Sangabuye yeye anapongeza wadau na wataalam kufika kwenye maeneo yao huku akitoa rai ya tafiti zinazofanyika zitoe uelewa na muelekeo wa namna ya kuishi kwani watu wengi hawajui cha kufanya.

“..Mi nilijua ni sawa tu kwa mwanamke kuwa na majukumu yote kwa sababu ndivyo tulivyozoea,mwanaume yeye afanye anavyotaka kwa sababu amekuoa ndo tunajikuta tunaingia kwenye vishughuli shughuli,vicoba ili watoto wale waende shule na wao wajipambanie ndoto zao ..”

 

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.