• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

JAMII IMETAKIWA KUEPUKANA NA SHUGHULI ZA UHARIBIFU WA MAZINGIRA

Posted on: June 5th, 2024

Jamii imetakiwa kuepukana na uharibifu wa mazingira na kuweza kuruhusu urejeshwaji wa ardhi ambayo imeshaharibiwa kutokana na shughuli mbalimbali za uzalishaji kwa kupanda  miti, kuhifadhi bionawari kwa kuepuka kuchoma misitu au mashamba katika uandaaji wa mashamba au mavuno.


"Takribani asilimia 40 ya ardhi yote duniani imeshaharibiwa uharibifu unaokadiriwa kuathiri zaidi ya watu Bilioni 3 ifikapo mwaka 2050 hivyo ni lazima tubadilike ."


Kauli hiyo imetolewa na mhadhiri wa chuo kikuu cha SAUT Mwanza Dr.Emmanuel Lwankomezi wakati wa kongamano la kilele cha maadhimisho ya siku ya mazingira duniani alipokuwa akiwasilisha mada ya Urejeshwaji wa Ardhi.


Ameongeza kusema kuwa ili kuweza  kurejesha ardhi iliyokwisha haribiwa jamii inapaswa kupanda miti, kuhifadhi bioanuwai kwa kuepuka kuchoma misitu au mashamba kipindi cha uandaaji wa mashamba au mavuno.


Akiwasilisha mada ya nishati safi teknolojia rafiki kwa mazingira Mkurugenzi wa Chabri energy Co.Ltd Bernard Makachia amesema ni wakati wa jamii kuangalia nishati mbadala za kutumia majumbani ili kuepuka uharibifu na uchafuzi wa mazingira.


"Jamii nzima tunalo jukumu la kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi,tumieni nishati inayotokana na taka ngumu hapo tutaweza kutunza taka zetu vizuri kwa kutambua thamani yake na wakati huo huo tutapata nishati yenye nguvu na salama kwa mazingira yetu." Amesema Makachia


Akichangia katika kongamano hilo Asha Stephen ambae ni mwanafunzi wa kidato cha nne shule ya sekondari Lukobe amewashukuru waandaji wa kongamano hilo kwani amejifunza namna bora ya kuepuka mmonyoko wa udongo kwa kupanda miti.



Mratibu wa Roots & shoots kanda ya ziwa Bi.Leticia Mlawa ameunga hoja juu ya utunzaji wa mazingirana kusema kuwa kuwa ipo haja ya kupanda miti ili kuweza kupambana na uharibifu wa mazingira na mabadiliko ya tabia nchi kwani ni rahisi kutunza miti kuliko kupanda miti .


Nae Afisa mazingira kutoka Ilemela Ndugu Phinias Marcon amebainisha kuwa Jumla ya miti 40,727 imepandwa maeneo ya umma na binafsi ikiwemo miti ya matunda,vivuli na mbao katika kuhakisha mazingira yanahifadhiwa kwa kizazi cha sasa na kijacho.


Katika kuadhimisha siku ya mazingira duniani, ambayo huadhimishwa kila mwaka tarehe 05 juni, Halmashauri ya manispaa ya Ilemela imeendesha kongamano lililowajumuisha wadau mbalimbali wa mazingira wakiwemo wanafunzi wa vyuo vikuu, shule za sekondari na msingi chini ya kauli mbiu “Urejeshwaji wa Ardhi,ustahimilivu wa hali ya jangwa na ukame”.



Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.