• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

HAKUNA MWANANCHI ATAKAEVUNJIWA NYUMBA BILA KULIPWA FIDIA - MHE. MABULA

Posted on: October 3rd, 2024

Mbunge wa  Jimbo la Ilemela Mhe. Dkt. Angeline Mabula amewatoa hofu wananchi wa kata ya Shibula kuwa hakuna mwananchi mwenye uhalali wa kulipwa fidia ya eneo lake litakaloathirika kutokana na ujenzi wa barabara mpya yenye urefu wa kilomita 46 kutoka uwanja wa ndege uliopo Manispaa ya Ilemela kuelekea Nyanguge wilayani Magu bila kulipwa haki yake.

Ameyasema hayo wakati wa mkutano wake wa hadhara wa kusikiliza kero za wananchi katika viwanja vya Mhonze kata ya Shibula ambapo amesema kuwa Serikali imekwisha tenga fedha kwa ajili ya ujenzi wa barabara hiyo ambayo ilikuwa kero kwa muda mrefu kwa wananchi wa eneo hilo .

“.. Tulikuwa na kero ya muda mrefu ya ukosefu wa barabara sasa serikali ya Dkt. Samia imetuletea fedha tujenge, mlitaka maendeleo serikali imesikia kilio chenu,niwahakikishie hakuna mwenye haki atakaekosa stahiki yake ..” Alisema

Aidha Mhe Dkt Mabula amewaasa wananchi hao kushiriki katika shughuli za maendeleo pamoja na kujitokeza katika kujiandikisha kwenye daftari la uchaguzi wa serikali za mtaa kwa mwaka 2024 na kujitokeza kwa wingi Oktoba 03 kilele cha mbio za Mwenge wa uhuru mkoani Mwanza viwanja vya CCM Kirumba.

Kwa upande wake mkuu wa idara ya mipango kutoka wakala wa barabara mkoani Mwanza TANROADS Mhandisi Magesa Mwita amesema kuwa upembuzi yakinifu wa barabara ya kutoka uwanja wa ndege kuelekea Nyanguge ulifanywa na mzabuni na baadae wao kama taasisi waliurudia upya ili kuondoa malalamiko yaliyoibuka na kuwahakikishia kuwa hakuna uonevu wowote uliofanyika na kama kutakuwa na malalamiko mengine wapo tayari kukaa meza moja na walalamikaji kwa ajili ya suluhu huku akisisitiza kuwa wamefuata sheria na taratibu za ujenzi huo na kuwa kila mwananchi mwenye haki ya kulipwa atalipwa kabla ya nyumba zake kuvunjwa .

Mhe. Renatus Babehe Mulunga ni mstahiki meya wa manispaa ya Ilemela mbali na kuishukuru serikali ya Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha za miradi mbalimbali ya maendeleo ndani ya manispaa yake, amewataka wananchi wa kata hiyo kuendelea kushirikiana na serikali kupitia sera ya manispaa hiyo ya utatu

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.