• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

DC MASALA: MARUFUKU MICHANGO SHULENI

Posted on: March 7th, 2024

Mhe Hasan Masala mkuu wa wilaya ya Ilemela amepiga marufuku michango kwa wanafunzi na wazazi katika shule zote za msingi na sekondari zilizopo ndani ya wilaya hiyo.


Katazo hilo limekuja mara baada ya malalamiko yalitolewa na wazazi mbalimbali juu ya michango shuleni wakati  ziara ya kusikiliza na kutatua kero za wananchi katika kata ya Buzuruga, ambapo amesema kuwa serikali imekuwa ikitoa fedha nyingi kwaajili ya kugharamia utekelezaji wa shughuli mbalimbali za elimu na kuboresha miundombinu ya sekta hiyo ikiwemo ujenzi wa madarasa, vyoo, madawati hivyo kutokuwepo kwa ulazima wa kuchangisha wananchi ili watoto waweze kupata elimu


Aidha aliongeza kusema kuwa iwapo kuwa kama kutakuwa na ulazima wa kuchangia kwa makubaliano ya wazazi na uongozi wa shule basi lazima ofisi yake iweze kutoa kibali na kushirikishwa juu ya uwepo wa michango hiyo


‘… Upo muongozo wa utoaji elimu bila malipo kwa maana ya bure sio utashi wangu, Wajibu wetu ni kusimamia maelekezo ya serikali juu ya usimamizi wa elimu, Tunatambua uwezo wa wazazi unatofautiana kuna watu wanaiona elfu moja ni kidogo lakini kuna watu wanatafuta elfu moja ndani ya wiki na hawaipati …’ Alisema


Daniel Lushinge ni mwananchi wa kata ya Buzuruga aliyelalamikia uwepo wa usumbufu wakati watoto wanapofata huduma ya elimu katika shule ya msingi Buzuruga pamoja na adhabu kwa watoto wasiochangia fedha kwa ajili ya masomo ya ziada ambapo ameiomba serikali kufuatilia kwa umakini juu ya walimu wasio waadirifu wanaochangisha wazazi nje ya utaratibu wa serikali



Kwa upande wake Afisa elimu sekondari wa Manispaa ya Ilemela Mwalimu Sylvester Mrimi amekemea vikali walimu wote watakaojihusisha na zoezi la kuchangisha wazazi mashuleni na kusisitiza kuwa hairuhusiwi kuchangisha wala kumzuia mwanafunzi kupata masomo kwa kigezo cha michango na kwamba mwalimu yeyote atakejihusisha na kukusanya michango shuleni atachukuliwa hatua za kinidhamu.


Mstahiki Meya wa manispaa ya Ilemela Mhe Renatus Mulunga amempongeza kumpongeza mkuu huyo wa wilaya kwa kazi nzuri anayoifanya ya kutatua kero za wananchi huku akimshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa fedha za maendeleo na mbunge wa jimbo hilo Dkt Angeline Mabula kwa ushirikiano anaoutoa katika shughuli za maendeleo


Mhe Masala amehitimisha kwa kuwasisitiza walimu kuzingatia taratibu za utoaji wa adhabu mashuleni sanjari na kuwataka wazazi kutowalea watoto nje ya maadili na kuwafanya kuwa wavivu na wajinga.



Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.