• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

MAAFISA WAANDIKISHAJI iCHF WAPATIWA MAFUNZO YA MFUMO MPYA WA MALIPO

Posted on: August 5th, 2020

Jumla ya maafisa waandikishaji 60 wa mfuko wa bima ya afya ya jamii iliyoboreshwa (iCHF) iliyoboreshwa wamepatiwa mafunzo ya namna ya kutumia mfumo mpya wa malipo kwa njia ya kielektroniki (kwa kutumia namba ya kumbukumbu) yaani ‘control number’

Wakiwa katika mafunzo hayo wametakiwa kufanya kazi ya uandikishaji kwa umakini, uadilifu wa hali ya juu. Kauli iliyotolewa na Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilemela, Ndugu John Wanga alipokuwa akifungua mafunzo hayo.


“Niwatake mkafanye kazi kwa umakini na uadilifu wa hali ya juu kwani sitarajii kusikia afisa mwandikishaji anachukua fedha na kuziweka mfukoni,”Alisisitiza.

Aliongeza kusema kuwa, lengo la mpango huu ni kuwafanya wananchi wanapata huduma bora wakati wote iwapo ana pesa au hana pesa, hivyo nizidi kuwasisitiza kuwa hata nyie ni vyema mkajiunga na bima hii kwani ni nzuri.


Pamoja na hayo aliwataka maafisa wasimamizi ambao ni maafisa maendeleo ya jamii kuhakikisha wanaelimisha jamii ili iweze kuona na kutambua umuhimu wa bima hii na ili wananchi waweze kupata huduma hii kwa urahisi.


Mfuko wa bima ya afya ya jamii ulioboreshwa (CHF) katika manispaa ya Ilemela unatarajia kuanza kutumia mfumo mpya wa malipo wa kielektroniki ambapo mwanachama atapatiwa namba ya kumbukumbu (control number) kwa ajili ya kufanya malipo.


Lengo la mfumo huu mpya ni kupunguza na kuondoa kabisa upotevu wa fedha uliokuwa ukitokea katika mfumo wa malipo ya zamani, Alisema mratibu wa bima ya afya iliyoboreshwa Ndugu Leonard




Announcements

  • TANGAZO LA KAZI NAFASI YA UDEREVA DARAJA LA II June 04, 2025
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WALIMU WA AJIRA MPYA WAMETAKIWA KUWEKA MIPANGO SAHIHI YA KAZI

    July 04, 2025
  • ELIMU YA FEDHA KUWAONGEZEA UFANISI WANUFAIKA WA TASAF

    July 03, 2025
  • AWAMU YA KWANZA UCHANJAJI MIFUGO KUANZA TAREHE 03 JULAI, KUKU ELFU 70 KUCHANJWA

    July 02, 2025
  • KAMPENI YA KITAIFA YA UTOAJI WA MATONE YA VITAMI A YAFIKIA ASILIMIA 98.7

    June 26, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.