• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA ILEMELA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
      • Mikakati ya MSM
    • Mikakati ya MSM
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha ukaguzi wa ndani
      • Kiengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Uhusiano na TEHAMA
    • Kata
      • Sangabuye
      • Nyasaka
      • Buswelu
      • Nyamhongolo
      • Kayenze
      • Bugogwa
      • Shibula
      • Ilemela
      • Kahama
      • Kiseke
      • Pasiansi
      • Kawekamo
      • Ibungilo
      • Nyamanoro
      • Buzuruga
      • Mecco
      • Nyakato
      • Kirumba
      • Kitangiri
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Uvuvi
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Michezo
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya wah. wabunge na madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • MipangoMiji na Mazingira
      • Uchumi Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba

Kitengo cha ugavi

HALMASHAURI YA MANISPAA YA ILEMELA 


Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela ina kitengo cha ugavi ambacho kumeundwa kwa mujibu wa sheria ya manunuzi na 7 ya mwaka 2011 kufugu na 37 ambapo sheria hiyo inaitaka taasisi ya serikali iwe na kiktengo cha ugavi (Procurement Management Unit –PMU).

Kitengo cha ugavi kinakiwa kiwe na mkuu wa kitengo mwenye elimu aliyosomea ujuzi huo na sifa, uzoefu katika kazi za manununzi na pia awe amesajiriwa na Bodi ya manunuzi (Procurement Professional Body).

Kwa mujibu wa sheria mkuu wa kitengo cha ugavi ataripoti moja kwa moja Afisa mashuhuri wa taasisi husika.

Afisa masuhuri wa taasisi atahakikisha kwamba kitengo cha ugavi (PMU) kinatengewa fedha kwenye bajeti ili kiweze kutimiza majukumu yake.

 

MAJUKUMU YA KITENGO CHA UGAVI

Majukumu ya kitengo cha ugavi yameainishwa kwenye sheria  ya manunuzi na 7 ya mwaka 2011 kipengele cha 38 kama yalivyo ainishwa hapa chini:-

Kushughulikia manunuzi yote ya taasisi

Kusaidia majukumu ya Bodi ya zabuni

Kutekeleza maamuzi ya bodi ya zebuni

Ni sekretarieti ya Bodi ya Zeburi

Kuandaa na kupitia orodha ya mahitaji

Kuandaa nyaraka za zebuni

Kuandaa matangazo ya zebuni

Kuandaa mikataba

Kutoa mikataba iliyokwisha kusainiwa

Kutunza kumbukumbu za manunuzi

Kutunza orodha au rejesta ya kikataba yote iliyoingiwa

Kuandaa taarifa ya mwezi ya bodi ya zebuni.

Kuandaa mpango wa mahitaji

Kitengo cha ugavi kinasimamia manunuzi yote toka idara na vitengo vilivyoko kwenye Halmashauri kitengo hiki kina wataalamu wanne ambao wanafanya kazi kwa mujibu wa sheria ya manunuzi.

Aidha kitengo cha ugavi mbali na kufanyakazi na idara na vitengo vya Halmashauri, pia kinafanya kazi kwa karibu sana kwa kushirikiana na Bodi ya Zabuni ya Halmashauri ambayo majukumu yake yameainishwa na sheria ya manunuzi na 7 ya mwaka 2011 kifungu cha 33 (1) (a) –( e).

Nawasilisha

 

…………………….

Andrew E. Ndaki

Afisa ugavi – Manispaa

ILEMELA.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA YA KAZI MTENDAJI WA MTAA March 03, 2021
  • Matokeo Darasa la Saba2020 November 23, 2020
  • Orodha ya Majina ya wanafunzi wavulana na wasichana waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza 2021 shule za kutwa December 19, 2020
  • Orodha ya majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza 2021 -Mahitaji maalum December 19, 2020
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Mgogoro wa ardhi Kigoto wahitimishwa rasmi

    March 04, 2021
  • Wataalam wa elimu, afya na ustawi wa jamii wajengewa uwezo wa kupambana na vitendo vya ukatili

    February 23, 2021
  • Kamati za kudumu za Halmashauri zahitimisha ziara robo ya pili 2020/2021

    February 16, 2021
  • Milioni 540 zilivyobadilisha uchumi wa wanawake, vijana na walemavu Ilemela

    February 16, 2021
  • Angalia zote

Video

Madiwani Ilemela waapishwa /wampata meya wao
Video zaidi

Ukurasa wa Karibu

  • Kuhakiki Taarifa za Mpiga Kura
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip
  • Maombi ya leseni ya biashara

Kurasa zinazofanana

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Tovuti Kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Anuani ya Posta: 735 MWANZA

    Simu: + 255 736 200910

    Simu:

    Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki 2019 Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela.Haki zote zimeifadhiwa